Ndugu wanaCCM, Wembe alioutumia Polepole kumnyolea Membe kwanini usitumike sasa kumnyoa Polepole?

G4N

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
1,429
3,532
Sote tunakumbuka ya kwamba Polepole akiwa katibu mwenezi wa CCM Taifa, alisimamia mchakato wa kumfukuza uanachama Membe kwa kosa la "kutamka" kwamba atachukuwa fomu ya kugombea Urais ili apambane na aliyekuwa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa ndugu Magufuli.

Kwa kutumia "kanuni za chama" Polepole alibariki ubakwaji huu wa katiba ya nchi na ile ya chama na kuidhinisha Membe afukuzwe chamani.

Hivi sasa Polepole "anatamka" maneno ya makufuru ya kupingana na sera na uongozi wa mwenyekiti wa ccm taifa, mama Samia.

Nini kinaizuia CCM hii kutumia kanuni zile zile zilizotumika kumfukuza Membe uanachama, zisitumike kumfukuza Polepole??
 
Sote tunakumbuka ya kwamba Polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm taifa, alisimamia mchakato wa kumfukuza uanachama Membe kwa kosa la "kutamka" kwamba atachukuwa fomu ya kugombea urais ili apambane na aliyekuwa rais na mwenyekiti wa ccm taifa ndugu Magufuli.

Kwa kutumia "kanuni za chama" Polepole alibariki ubakwaji huu wa katiba ya nchi na ile ya chama na kuidhinisha Membe afukuzwe chamani.

Hivi sasa Polepole "anatamka" maneno ya makufuru ya kupingana na sera na uongozi wa mwenyekiti wa ccm taifa, mama Samia.

Nini kinaizuia CCM hii kutumia kanuni zile zile zilizotumika kumfukuza Membe uanachama zisitumike kumfukuza Polepole??
Noma sana wachawainuane

USSR
 
Sio mwanachama wala mpenzi wa Ccm ila Katibu Mwenezi wa Chama ana maamuzi gani kwenye chama zaidi ya kutangaza kilichoamuliwa?

Mfano G. Msigwa msemaji wa Serikali ana maamuzi gani serikalini? Au mwandishi wa habari wa Ikulu ana maamuzi gani yahusuyo Ikulu?


Labda tumlaumu kwa mbwembwe zake tu na maneno ya kero kama alivyofanya Heri Jensi na Ally Happy na Nape enzi zake
 
Katibu Mwenezi wa Chama ana maamuzi gani kwenye chama zaidi ya kutangaza kilichoamuliwa?
Hivi Sasa pia hana maamuzi, lkn anasikika. Alipaswa kusikika zaidi wakati wa sakata la Membe maana walau alikuwa katibu mwenezi.
 
Ccm jifunzeni kuishi na watu wenye mawazo mbadala badala ya zidumu fikra za mwenyekiti. Wewe, polepole na nape hamna tofauti wote ni wachumia tumbo
 
This is special for people with simple minds. So let me Isolate from this discussions so simple minds discuss.

Go go go on simple minds.....,
 
Polepole ni mwanaccm mchanga, bado ajaiva kisiasa, ila yuko vizuri kiharakati. Ukiwa mwanasiasa lazima uangalie upepo vinginevyo lazima uondoke, uongo, kujipendekeza, uhaminifu, vyote viwe kiasi. Uwe mwepesi wa kubadilika kulingana na mtawala.
Kumbuka - isiyo kongwe haivushi!
 
Sote tunakumbuka ya kwamba Polepole akiwa katibu mwenezi wa CCM Taifa, alisimamia mchakato wa kumfukuza uanachama Membe kwa kosa la "kutamka" kwamba atachukuwa fomu ya kugombea Urais ili apambane na aliyekuwa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa ndugu Magufuli.

Kwa kutumia "kanuni za chama" Polepole alibariki ubakwaji huu wa katiba ya nchi na ile ya chama na kuidhinisha Membe afukuzwe chamani.

Hivi sasa Polepole "anatamka" maneno ya makufuru ya kupingana na sera na uongozi wa mwenyekiti wa ccm taifa, mama Samia.

Nini kinaizuia CCM hii kutumia kanuni zile zile zilizotumika kumfukuza Membe uanachama, zisitumike kumfukuza Polepole??
Ni wapi umemsikia polepole akipambana na mwenyeki wake kama ilivyokua kwa membe?
Au mkitoka kwenye kupiga faru john akiri zenu mnaona kila kitu kinafanana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom