kadinali JM
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 379
- 304
Habari za jioni, mko poa? Jumapili shwari? Bas fresh!! Swali langu ni hili, Mimi ni muuzaji wa Umeme kupitia selcom, sasa wanaonunua Umeme ni watu tofauti tofauti, swali liko kwenye usomaji wa unit, je kwa mfano unit 14.10, inasomwa unit kumi na nne point kumi au unit kumi na NNE point moja?kwa sababu watoto hasa hawa walio ndani ya mfumo wa shule, Mimi nawaambia ni kumi na NNE point moja kwa sababu ndio nilivyofundishwa miaka hiyo ya 1999 nikiwa primary school, je ndugu ndugu walimu siku hizi usomaji wa desimali umebadilika? Kwa sababu nashaangaa mtoto wa kwanzia darasa LA sita hadi form 2 aniambia eti hizi unit 2.90 anasoma eti mbili point tisini, seriously? Hadi hawa wanaosoma shule za st kufanyaje, tuwekane sawa jamani, karibuni