Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika Hali isiyokuwa imetarajiwa mdogo wake Zitto amefanikiwa kuokoa Mkutano wa Dr Slaa kushinwa kufanyika mjini kigoma. Wanafamilia na ndugu wa karibu wa Zitto wakiongozwa na mdogo wake aitwae Bayona walifanikiwa kupunguza munkari wa Wana CHADEMA waliokuwa na hasira ambao waliokuwa wamejiandaa kuvuruga Mkutano huo kwa kuwataka wahudhurie Mkutano huo Bila ya kufanya vurugu huku wakisubiri matokeo ya rufaa ya Zitto kwa baraza kuu la chadema ambalo wanaamini litatenda haki na kuokoa chama. Haijulikani kama hili limefanyika likiwa na mkono wa Zitto isipokuwa katika taarifa yeke leo mbele ya waandishi, Wakili wa Zitto aligusia kuwa Zitto haungi mkono vitendo vya fujo anavyofanyiwa Dr Slaa na kuwataka wanacham kutulia kuacha hatua za kichama ziendelee.
Kuongopa kwani wewe upo Kigoma? Kwanini usiwaulize waliokuwepo huko!
Mleta mada kanywa pombe ya ndizi maarufu
kwa jina la KAYOGA hasa ndani ya Mkoa wa
Kigoma,mikutano hii imefanyika kadri CDM
walijipanga pia jua nyakati hizi mvua ni nyingi
Nyii maccm baada ya mbinu zenu kuingia mkenge ndiyo mnajidai ndugu wa Zito wame saidia.Zito umaarufu wake uko wapi nje ya cdm.Jiulize Lamwai yuko wapi.Wa kimmaliza hutamsikia tena.Akienda ccm ndiyo litakuwa kaburi lake maana ccm yenyewe kaburi liko tayari
Katika Hali isiyokuwa imetarajiwa mdogo wake Zitto amefanikiwa kuokoa Mkutano wa Dr Slaa kushinwa kufanyika mjini kigoma. Wanafamilia na ndugu wa karibu wa Zitto wakiongozwa na mdogo wake aitwae Bayona walifanikiwa kupunguza munkari wa Wana CHADEMA waliokuwa na hasira ambao waliokuwa wamejiandaa kuvuruga Mkutano huo kwa kuwataka wahudhurie Mkutano huo Bila ya kufanya vurugu huku wakisubiri matokeo ya rufaa ya Zitto kwa baraza kuu la chadema ambalo wanaamini litatenda haki na kuokoa chama. Haijulikani kama hili limefanyika likiwa na mkono wa Zitto isipokuwa katika taarifa yeke leo mbele ya waandishi, Wakili wa Zitto aligusia kuwa Zitto haungi mkono vitendo vya fujo anavyofanyiwa Dr Slaa na kuwataka wanacham kutulia kuacha hatua za kichama ziendelee.
Katika Hali isiyokuwa imetarajiwa mdogo wake Zitto amefanikiwa kuokoa Mkutano wa Dr Slaa kushinwa kufanyika mjini kigoma. Wanafamilia na ndugu wa karibu wa Zitto wakiongozwa na mdogo wake aitwae Bayona walifanikiwa kupunguza munkari wa Wana CHADEMA waliokuwa na hasira ambao waliokuwa wamejiandaa kuvuruga Mkutano huo kwa kuwataka wahudhurie Mkutano huo Bila ya kufanya vurugu huku wakisubiri matokeo ya rufaa ya Zitto kwa baraza kuu la chadema ambalo wanaamini litatenda haki na kuokoa chama. Haijulikani kama hili limefanyika likiwa na mkono wa Zitto isipokuwa katika taarifa yeke leo mbele ya waandishi, Wakili wa Zitto aligusia kuwa Zitto haungi mkono vitendo vya fujo anavyofanyiwa Dr Slaa na kuwataka wanacham kutulia kuacha hatua za kichama ziendelee.
Kuongopa kwani wewe upo Kigoma? Kwanini usiwaulize waliokuwepo huko!
Safi sana zitto family kwa kuokoa chama pia hakksheni ruzuku inakaguliwa
Meng yatasemwa lkn ukwer utabak kuwa ukwer.Dr.S. Na wanaCDM songambele adui kashaanza kutapatapa.