Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Ndugu kama ni mkristo sali funga ataondoka kama upepo wa kisuli suli
Mungu anaangalia moyo kwanza!
Utamfanya mwenzio ashinde njaa bureee!
Anaangalia huyu anaomba moyoni kumejaa nini upendo au chuki na choyo?
Unaambiwa hata ukiwa na imani ya kuhamisha milima pasipo upendo kazi bure
Ni kama Shaba iliayo upatu!