rutegeramisi gwategera
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 446
- 493
Mgambo Wana viheleheleMimi sipo kwenye ugaidi au kutokua gaidi make hiyo ni siri NZITO kwetu!
"Tatizo langu ni kwa nini aliua askari wa kampuni binafsi "
Mgambo Wana viheleheleMimi sipo kwenye ugaidi au kutokua gaidi make hiyo ni siri NZITO kwetu!
"Tatizo langu ni kwa nini aliua askari wa kampuni binafsi "
yule mlinzi alijipendekezaTuseme Hamza sio gaidi haina noma!
Kwa nini alimuua askari wa kampuni binafsi ???ya ulinzi
Tuseme Hamza sio gaidi haina noma!
Kwa nini alimuua askari wa kampuni binafsi ???ya ulinzi
Kwanini Mwananchi hawajamuuliza msemaji wa familia kuhusu iwapo Hamza alikuwa akijihusisha na biashara ya madini au la!Dar es Salaam. Familia ya Hamza Mohamed aliyewapiga risasi na kuwauwa askari watatu, mlinzi mmoja wa kampuni binafsi na kisha naye kuuawa kwa kupigwa risasi, wameeleza kusikitishwa na taarifa kutoka polisi kuwa ndugu yao alikuwa gaidi.
Akizungumzia uchunguzi wa polisi, jana Alhamisi, Setemba2, 2021 msemaji wa familia ya Hamza, Abdulrahman Hassan amesema wamekuwa wakimuona marehemu akiwa mtu wa kawaida ambaye hakuwa na tabia yoyote ya kigaidi.
‘‘Dah! Sisi tulikuwa tukimuona Hamza kama mtu wa kawaida asiye na mwenendo wa kigaidi, amesema kwa mshtuko.
Kuhusu Hamza kujifunza ugaidi kupitia mitandao, amesema: “Dada….! Hamza anajulikana, watu wamemzungumzia wanavyomfahamu, sisi hatuna cha kuongeza kama polisi wanadai hivyo.’’
Alipoulizwa kama familia inafahamu lolote kuhusiana na viashiria vya ugaidi vinavyodaiwa kuwa Hamza alikuwa navyo, Hassan amesisitiza walikuwa wakimuona Hamza ni mtu wa kawaida na si mwenye nyendo za kigaidi.
Kuhusu Hamza kuishi kisiri huku akiwa amegubikwa na viashiria vyote vya ugaidi na kujifunza mambo mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii, hasa ile ambayo inaonyesha matendo ya Al-Shabab na makundi kama ya ISIS,
msemaji huyo amesema hawezi kuzungumzia chochote juu ya jambo hilo
Maelezo hayo ya Hassan yametokana na taarifa ya polisi iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camillius Wambura ambaye amesema kwamba uchunguzi wa awali umebaini kuwa Hamza alikuwa gaidi wa kujitoa mhanga.
Source: Mwananchi
DCI kaonekana mtu wa hovyo kma jobuSuisaidi Tera ,Terror Squad ! DCI buana yaani mtu anajifunza ugaidi youtube kwa kuangalia matendo ya Alshabaab na ISIS...Je kumimina mjegejo nayo alijifunza youtube?
Dar es Salaam.
Kuhusu Hamza kuishi kisiri huku akiwa amegubikwa na viashiria vyote vya ugaidi na kujifunza mambo mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii, hasa ile ambayo inaonyesha matendo ya Al-Shabab na makundi kama ya ISIS,
na bastola alidownload mtandaoniSuisaidi Tera ,Terror Squad ! DCI buana yaani mtu anajifunza ugaidi youtube kwa kuangalia matendo ya Alshabaab na ISIS...Je kumimina mjegejo nayo alijifunza youtube?
tuna ushahidi na mambo mengi polisi waliyojitungia,mengi sanaHamza hakuwa na viashiria vya ugaidi. Polisi imejitungia ikiamini hakuna wa kuwajibu.
Aisee poleni sanatuna ushahidi na mambo mengi polisi waliyojitungia,mengi sana
Walishawahi kumkamata ndugu yetu usiku wa saa tatu akiwa amelewa,tena nyumbani wakaenda naye
kesho yake wakatangaza wamemkuta kwenye tukio la uvamizi wa duka la hardware akiwa na silaha na wamemuua
Kwa sasa ni busara kuiacha hii familia ipunzike wanapitia maumivu mengi. Japo hili nalo litapita nasi tutasahau na kusubiria tukio lingineDar es Salaam. Familia ya Hamza Mohamed aliyewapiga risasi na kuwauwa askari watatu, mlinzi mmoja wa kampuni binafsi na kisha naye kuuawa kwa kupigwa risasi, wameeleza kusikitishwa na taarifa kutoka polisi kuwa ndugu yao alikuwa gaidi.
Akizungumzia uchunguzi wa polisi, jana Alhamisi, Setemba2, 2021 msemaji wa familia ya Hamza, Abdulrahman Hassan amesema wamekuwa wakimuona marehemu akiwa mtu wa kawaida ambaye hakuwa na tabia yoyote ya kigaidi.
‘‘Dah! Sisi tulikuwa tukimuona Hamza kama mtu wa kawaida asiye na mwenendo wa kigaidi, amesema kwa mshtuko.
Kuhusu Hamza kujifunza ugaidi kupitia mitandao, amesema: “Dada….! Hamza anajulikana, watu wamemzungumzia wanavyomfahamu, sisi hatuna cha kuongeza kama polisi wanadai hivyo.’’
Alipoulizwa kama familia inafahamu lolote kuhusiana na viashiria vya ugaidi vinavyodaiwa kuwa Hamza alikuwa navyo, Hassan amesisitiza walikuwa wakimuona Hamza ni mtu wa kawaida na si mwenye nyendo za kigaidi.
Kuhusu Hamza kuishi kisiri huku akiwa amegubikwa na viashiria vyote vya ugaidi na kujifunza mambo mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii, hasa ile ambayo inaonyesha matendo ya Al-Shabab na makundi kama ya ISIS,
msemaji huyo amesema hawezi kuzungumzia chochote juu ya jambo hilo
Maelezo hayo ya Hassan yametokana na taarifa ya polisi iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camillius Wambura ambaye amesema kwamba uchunguzi wa awali umebaini kuwa Hamza alikuwa gaidi wa kujitoa mhanga.
Chanzo: Mwananchi
Huenda alijipendekeza kuwasaidia wale watu wa hovyohovyoTuseme Hamza sio gaidi haina noma!
Kwa nini alimuua askari wa kampuni binafsi ???ya ulinzi
Hata ile binduki aliyoendanayo salenda aliidanlod twitaSuisaidi Tera ,Terror Squad ! DCI buana yaani mtu anajifunza ugaidi youtube kwa kuangalia matendo ya Alshabaab na ISIS...Je kumimina mjegejo nayo alijifunza youtube?
Swali zuri, ungerisgirikisha akili kabla yakujibu usingeuliza. Ungepata majibu mengi kwanini aliuliwaTuseme Hamza sio gaidi haina noma!
Kwa nini alimuua askari wa kampuni binafsi ???ya ulinzi
Hukusikia yule askari wa kampuni binafsi alijiandaa kumshambulia hamza ndio hamza akamuwahi? Nadhani hamza alimuua yule wa binafsi kwakua yule wa binafsi alikuwa anakoki gobole lake ila wale wengine waliuawa kwasababu ndio walikuwa lengo la Ndugu hamzaTuseme Hamza sio gaidi haina noma!
Kwa nini alimuua askari wa kampuni binafsi ???ya ulinzi
Duuuh!huyo askari Si alijipendekeza kukoki Bunduki wakamuwai na Shujaa Hamza.Hata ungekuwa we ni Hamza ungemuua tu
Na hili ndio nilikuwa nalitakaKwanini Mwananchi hawajamuuliza msemaji wa familia kuhusu iwapo Hamza alikuwa akijihusisha na biashara ya madini au la!