Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

Chama cha wazushi, waongo, wanafiki, wauaji kuanzia mwenyekiti wake, wazee washauri, hadi wapiga debe wake Jamii forums.

jana ulipo kuwa unaongea na waandishi wa habari uso wako ulikuwa umejaa laana tupu!
 
ndugu mmoja (jina kapuni kwa usalama wake), wa karibu wa bwana ahmed msangi , askari anayechukiwa kuliko kila askari hapa nchini kwa tuhuma za utekaji na mateso ya Dr. Stephen Ulimboka, amenukuliwa akilalamika kwamba ndugu yao ametolewa kafara na kuyaweka maisha yake hatarini wakati yeye alifanya kazi aliyotumwa na wakubwa.
"ndugu yetu amechafuka sana jina kiasi kwamba anatembea kwa wasiwasi kila anakokwenda. hamedi hana amani na tunaona kama vile yeye alitumiwa wakati waliomtumia wamenyamaza na muda mwingine wanamfokea kwa kufanya uzembe. sisi wenyewe tunafatwa na makachero wanaotuhoji maswali mengi wakati hata huko mabwepande hatukujui. hatujawahi kumiliki bunduki wala gari. hatujui chochote na hatuna uhusiano na usalama wala polisi. wasicdhanie watabakia milele kwenye madaraka. wataumbuliwa tu siku moja......chanzo, ndugu wa karibu wa bwana msangi

NB
hatuwezi kuweka jinsia au anakoishi huyu mtu kwa usalama wake. Ila familia ya msangi inaishi kwa wasiwasi. Watu wanaosadikiwa kuwa usalama wanajaribu kutafuta ni habari gani wanazozijua (majina ya wakubwa) kuhusiana na utekaji wa Dr. Ulimboka.

Kwa hiyo ina maana kama "wakubwa wake" wangemtuma Ahmed Msangi kwenda kuwatesa hao ndugu zake mwenyewe, na ukweli ukajulikana, angekuwa ametolewa kafara pia?

Au angekuwa ametumwa kula kinyesi chake mwenyewe, angefanya tu, kwa kuwa ametumwa?

Msangi ni mtima, mwenye akili timamu. Kama ameyafanya hayo (sikuwapo, kwa hiyo sijui kama ni kweli au la...), aliyafanya akiwa na utashi wake mwenyewe, wala hakushurutishwa.

Binadam tuna tabia ya kufanya maovu na baadaye kuja kusema "Shetani alinipitia!"

Shetani mwenyewe anatuogopa na kutushangaa, kwani mara nyingine, ubaya wetu unauzidi ubaya wake! TUSIMSINGIZIE wala tusisingizie kutolewa kafara.
 
Naogopa kuchangia vilivyo, maana hili sakata lipo mahakamani.

Unamaanisha nini unaposema mahakama mi sijaona mahakama hapa bongo mahakama zinazofunga mtu aliyeiba paja la kuku miaka sawa na mtu aliyeiba bil 10? kaka funguka mahakama ni pesa yako tu.
 
ndugu mmoja (jina kapuni kwa usalama wake), wa karibu wa bwana ahmed msangi , askari anayechukiwa kuliko kila askari hapa nchini kwa tuhuma za utekaji na mateso ya Dr. Stephen Ulimboka, amenukuliwa akilalamika kwamba ndugu yao ametolewa kafara na kuyaweka maisha yake hatarini wakati yeye alifanya kazi aliyotumwa na wakubwa.
"ndugu yetu amechafuka sana jina kiasi kwamba anatembea kwa wasiwasi kila anakokwenda. hamedi hana amani na tunaona kama vile yeye alitumiwa wakati waliomtumia wamenyamaza na muda mwingine wanamfokea kwa kufanya uzembe. sisi wenyewe tunafatwa na makachero wanaotuhoji maswali mengi wakati hata huko mabwepande hatukujui. hatujawahi kumiliki bunduki wala gari. hatujui chochote na hatuna uhusiano na usalama wala polisi. wasicdhanie watabakia milele kwenye madaraka. wataumbuliwa tu siku moja......chanzo, ndugu wa karibu wa bwana msangi

NB
hatuwezi kuweka jinsia au anakoishi huyu mtu kwa usalama wake. Ila familia ya msangi inaishi kwa wasiwasi. Watu wanaosadikiwa kuwa usalama wanajaribu kutafuta ni habari gani wanazozijua (majina ya wakubwa) kuhusiana na utekaji wa Dr. Ulimboka.

Huyu jamaa si mkenya jamani tumetangaziwa na kovu
 
Hivi wewe ndiyo unataka tuamini haya? kama ni kweli alishiriki na anahojiwa kuhusu ushiriki wake ulitegemea aseme kwamba ni kweli yeye ndiye aliyemteka na kumtesa Dr. Uli?. Fikiri kidogo!

kama tunataka watoto na wajuuu wetu waishi maisha ya heshima na tofauti na maisha yetu ya kishenzi, eleminate huyu msangi haraka iwezekanavyo, kama waislamu walitoa fatwa kwa Rushdie, sisi tu elimina styl ile ile aliyomfanyai Ulimboka, huyu sio wa kwanza tumepoteza wapendwa wengi sana wakati huyu mbwa akiwa Arusha, KILL KILL KILL HIM kama tukishindwa tusogelee watu wake wa karibu, hakuna kona, jino kwa jino CUF policy ndio usawa, Hakiiiiiiii...... hizi tarumbeta zao wakapeana na kova, na sasa nimefurahi sana kusikia silaha kama njugu, jamani tujiandae tusiwe naive, wataendelea kutumaliza mmoja mmoja kama hatuwakuwa wamoja, tusikubali afe mtu mwingine kabla wao hawajapoteza watatu
 
Profesa Museru: Nini? Kwamba alikimbia?......sasa hilo la kukimbia limetokea wapi?
Hili neno kukimbia Professor anatumia kupindisha ukweli. Ukweli ni kwamba Msangi alitoka bila kumaliza mazungumzo na hilo ndo swali alilotakiwa kuthibitisha. Professor used evasive tactic by putting words in the mouth of the journalist
 
Habari ndio hii.............acheni kupika mambo kwa manufaa ya Chadema,haisaidii sana



Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dkt. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dkt. Ulimboka.

Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, ACP Msangi alikiri kwenda katika wodi ya wagonjwa mahututi katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa nia ya kumhoji Dkt. Ulimboka, ila akaeleza mshangao wake kutokana na habari zilizochapishwa mwishoni mwa wiki, kuwa aliambiwa arejeshe pochi na simu ya Dkt. Ulimboka kwa maana kuwa alivipora walipomteka.

Vyombo vya habari mwishoni mwa wiki vilichapisha taarifa bila kutaja jina la askari anayetuhumiwa, lakini pia ukawa unasambazwa ujumbe mfupi kupitia simu za mkononi ambao ulisema hivi:

“Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dkt. Ulimboka, yuko katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dkt. Ulimboka. Alipofika kumhoji Dkt. Ulimboka alimwambia ‘Nirudishie simu na wallet yangu’. Kamanda Msangi taratibu akaondoka wodini kichwa chini. Kama wewe ni mpenda haki na unapinga ujinga na dhuluma, watumie ujumbe huu watu wengi kadri uwezavyo ili wamjue dhalimu aliyeongoza unyama huu,” ulisema ujumbe huo unaosambazwa kupitia simu za mkononi.

Tume ya Jeshi la Polisi iliyoundwa kuchunguza tukio la Dkt. Ulimboka kutekwa nyara, kwa mujibu wa Kamanda Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, inaongozwa na Kamanda Msangi.Kamanda Msangi azungumza


Jamhuri: Afande umetangazwa kuongoza hii Tume ya Polisi kuchunguza suala la Dkt. Ulimboka, lakini taarifa zilisosambaa zinaonyesha Ulimboka alikwambia umerejeshee simu na wallet yake. Unalizungumziaje hili?

Kamanda Msangi:
Hata mimi nimesikia hizi taarifa, na zimenisikitisha mno. Naamini taarifa hizi zina malengo ya ziada. Si kweli kwamba nilishiriki kumteka Dkt. Ulimboka na wala sijawahi kuwa na wazo hilo.

Jamhuri: Ikiwa hukushiriki kumteka iweje wodini akwambie nirudishie simu yangu?

Msangi: Kwanza ifahamike mimi huyu Dkt. Ulimboka na mwenzake Dkt. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.
Alichosema Dkt. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Jamhuri: Haya unayasema wewe, hivi unadhani jamii itakuamini kwa kauli hizi, haitaonekana unajitetea tu?

Msangi: Wakati anazungumza maneno haya, alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dkt. Ulimboka. Yupo pia Dkt. Deo, huyu ananifahamu na Dkt. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Jamhuri: Tuhuma hizi zilianza kusambaa mapema tu Ijumaa. Je, wewe hukuwa na hofu kwenda pale MOI kumhoji Dkt. Ulimboka?

Msangi: Ndugu yangu, nchi hii ina askari wengi mno. Hivi mimi kwa akili ya kawaida naweza kushiriki kumteka Dkt. Ulimboka kisha nikaenda wodini kumhoji? Hata katika akili ya kawaida ya binadamu hilo haliwezekani.

Jamhuri:
Hizi tuhuma zilizoelekezwa kwako ni nzito. Wewe ndiye uliyeteuliwa kuongoza Tume ya Uchunguzi wa tatizo hili. Je, unadhani uchunguzi utakaofanya utaaminiwa na wananchi ukitoa ripoti?

Msangi: Mimi ninachokuhakikishia sikushiriki kumteka na si kweli kwa kila hali. Mambo kama haya yanakatisha tamaa. Kama tunaanza kuzushiana uongo kwa kiwango hiki, nchi hii sijui inaelekea wapi! Kimsingi imenikatisha tamaa mno. Wapo wanaosema nijiuzulu katika Tume hii lakini mimi nasema wakubwa wangu wamenipa kazi hii na watakaloamua nitalipokea. Hivi wewe gazeti lako likituhumiwa unaacha kuendelea kutafuta habari? Nitaendelea kufanya kazi hii kama nilivyoapa siku nilipohitimu mafunzo kwamba nitalitumikia taifa kwa uadilifu na uaminifu wa hali ya juu katika kiapo changu cha utii. Na hilo ndilo nitakaloendelea kufanya. Watu wanapenda kuharibiana maisha tu.Profesa Museru asema alichokisikia


Mkurugenzi wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili, Profesa Lawrence Museru, akizungumza na JAMHURI kuhusiana na sakata kwamba Dk. Ulimboka, alimweleza Kamanda Msangi arejeshe simu na wallet yake.

Jamhuri:
Profesa nimezungumza na Kamanda Msangi juu ya tuhuma zinazomkabili kuwa aliambiwa na Dk. Ulimboka amrejeshee simu na wallet yake, na akakutaja wewe kuwa ulikuwapo wakati wa mazungumzo hayo. Wewe nini ulichokisikia kuhusiana na tuhuma hizi.

Profesa Museru:
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.

Jamhuri: Kuna habari kuwa Kamanda Msangi baada ya kuambiwa kauli hiyo alitoweka wodini bila kuaga akikwepa kipigo kama ilivyomtokea askari mwenzake siku mbili kabla. Je, unalizungumziaje hilo profesa?

Profesa Museru: Nini? Kwamba alikimbia? Jamani nchi hii inakwenda pabaya. Mimi nilimsindikiza hadi nje ya wodi akapanda gari lake na kurejea ofisini kwake, sasa hilo la kukimbia limetokea wapi? Jamani ehee, mimi niseme katika hali kama hii sintofahamu zipo nyingi. Ni vyema kuchuja taarifa tunazozipata.Daktari asisitiza polisi wanahusika

Mkuu unaishi dunia gani? Hii habari ilishakuwa disputed na chama cha Madakatari kabisa. katika barua yao kwenda UN bado wanamtaja ahmed Msangi anahusika kwa kuwa alitajwa na Ulimboka kwa uhakika na si kwa kupikwa kama habari hii.

UN wameshaelezwa kila kitu na kupewa CDs na wameshatoa ulinzi kwa wahusika wote baada ya kuhojiwa.

Stop living in the past. List inazidi kukua:

1. Nzowa
2. Msangi
3. Abeid na sasa
4. OCD wa Kawe

Hakuna siri duniani yote yatawekwa hadharani . . . Its a matter of time. Time will tell.
 
Mmmh! Mwisho wa ubaya ni aibu. Mungu hawezi kumuacha Msangi aangamize roho za watu wote bila yeye kuangamia. Akae akijua kuwa vyovyote vile ilivyo upanga wa Mungu uko pamoja naye na ni mkali kuliko wa mwanadamu. Kifo cha mSangi kitakuwa kibaya mno, kila mtu atashuhudia. Kama wakubwa wake hawatamuua kiaina kwa kushindwa kukamilisha kazi, basi ategemee kifo chenye maumivu makali!! D. Uli ni mtu wa Mungu, kama watawala na vibaraka wao wana akili timamu, wasifikirie tena kumdhuru Dr Uli. Jaribio hilo litaondoka na DHAIFU!!(JK)
Habari iliyotolewa na ndugu iwe ya kupika au ya ukweli, Msangi ajiandae kwa kifo kibaya na chenye maumivu makali, roho alizotoa zinatosha. Hao ndugu ni wanga wakubwa, hata wenyewe wanafaidi anachopata kutokana na uuaji anaofanya ndugu yao. Kusikitika kwao kunaonyesha familia nzima 'is naturally a criminal family'. Maana katika hali ya kawaida ndugu ambaye ni muuaji, hata ndugu zake huwa wanamtenga na kumkimbia. Ndugu gani wanaomsikitikia ndugu muuaji? kama na wenyewe sio 'criminals'

Kwani waliouliwa ndugu zao na huyo Msangi au Dr. Uli hawana ndugu?
Atavuna alichopanda. Mbona maaskari wengine hawatumiwi? Kwani yeye ndiye askari pekee? Huyo ni 'criminal' na katika jina la Yesu Kristo aliye hai, atavuna alichopanda.
 
Habari ndio hii.............acheni kupika mambo kwa manufaa ya Chadema,
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dkt. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dkt. Ulimboka.

Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, ACP Msangi alikiri kwenda katika wodi ya wagonjwa mahututi katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa nia ya kumhoji Dkt. Ulimboka, ila akaeleza mshangao wake kutokana na habari zilizochapishwa mwishoni mwa wiki, kuwa aliambiwa arejeshe pochi na simu ya Dkt. Ulimboka kwa maana kuwa alivipora walipomteka.

Vyombo vya habari mwishoni mwa wiki vilichapisha taarifa bila kutaja jina la askari anayetuhumiwa, lakini pia ukawa unasambazwa ujumbe mfupi kupitia simu za mkononi ambao ulisema hivi:

“Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dkt. Ulimboka, yuko katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dkt. Ulimboka. Alipofika kumhoji Dkt. Ulimboka alimwambia ‘Nirudishie simu na wallet yangu’. Kamanda Msangi taratibu akaondoka wodini kichwa chini. Kama wewe ni mpenda haki na unapinga ujinga na dhuluma, watumie ujumbe huu watu wengi kadri uwezavyo ili wamjue dhalimu aliyeongoza unyama huu,” ulisema ujumbe huo unaosambazwa kupitia simu za mkononi.

Tume ya Jeshi la Polisi iliyoundwa kuchunguza tukio la Dkt. Ulimboka kutekwa nyara, kwa mujibu wa Kamanda Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, inaongozwa na Kamanda Msangi.Kamanda Msangi azungumza


Jamhuri: Afande umetangazwa kuongoza hii Tume ya Polisi kuchunguza suala la Dkt. Ulimboka, lakini taarifa zilisosambaa zinaonyesha Ulimboka alikwambia umerejeshee simu na wallet yake. Unalizungumziaje hili?

Kamanda Msangi:
Hata mimi nimesikia hizi taarifa, na zimenisikitisha mno. Naamini taarifa hizi zina malengo ya ziada. Si kweli kwamba nilishiriki kumteka Dkt. Ulimboka na wala sijawahi kuwa na wazo hilo.

Jamhuri: Ikiwa hukushiriki kumteka iweje wodini akwambie nirudishie simu yangu?

Msangi: Kwanza ifahamike mimi huyu Dkt. Ulimboka na mwenzake Dkt. Deo nimewafahamu siku nyingi sana. Kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu. Kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa.
Alichosema Dkt. Ulimboka nilipozungumza naye, ni kwamba simu moja ilidondoka, nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake. Hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea. Nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu, aliniambia nikamuulize Dk. Deo. Sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu… sielewi ni nani na ana malengo gani.

Jamhuri: Haya unayasema wewe, hivi unadhani jamii itakuamini kwa kauli hizi, haitaonekana unajitetea tu?

Msangi: Wakati anazungumza maneno haya, alikuwapo Profesa Museru ambaye ni Mkurugenzi wa MOI. Sina cha kuficha kamuulize tu, atakwambia alichosema Dkt. Ulimboka. Yupo pia Dkt. Deo, huyu ananifahamu na Dkt. Ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa. Dk. Deo ananifahamu, akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka Dk. Ulimboka.

Jamhuri: Tuhuma hizi zilianza kusambaa mapema tu Ijumaa. Je, wewe hukuwa na hofu kwenda pale MOI kumhoji Dkt. Ulimboka?

Msangi: Ndugu yangu, nchi hii ina askari wengi mno. Hivi mimi kwa akili ya kawaida naweza kushiriki kumteka Dkt. Ulimboka kisha nikaenda wodini kumhoji? Hata katika akili ya kawaida ya binadamu hilo haliwezekani.

Jamhuri:
Hizi tuhuma zilizoelekezwa kwako ni nzito. Wewe ndiye uliyeteuliwa kuongoza Tume ya Uchunguzi wa tatizo hili. Je, unadhani uchunguzi utakaofanya utaaminiwa na wananchi ukitoa ripoti?

Msangi: Mimi ninachokuhakikishia sikushiriki kumteka na si kweli kwa kila hali. Mambo kama haya yanakatisha tamaa. Kama tunaanza kuzushiana uongo kwa kiwango hiki, nchi hii sijui inaelekea wapi! Kimsingi imenikatisha tamaa mno. Wapo wanaosema nijiuzulu katika Tume hii lakini mimi nasema wakubwa wangu wamenipa kazi hii na watakaloamua nitalipokea. Hivi wewe gazeti lako likituhumiwa unaacha kuendelea kutafuta habari? Nitaendelea kufanya kazi hii kama nilivyoapa siku nilipohitimu mafunzo kwamba nitalitumikia taifa kwa uadilifu na uaminifu wa hali ya juu katika kiapo changu cha utii. Na hilo ndilo nitakaloendelea kufanya. Watu wanapenda kuharibiana maisha tu.Profesa Museru asema alichokisikia


Mkurugenzi wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili, Profesa Lawrence Museru, akizungumza na JAMHURI kuhusiana na sakata kwamba Dk. Ulimboka, alimweleza Kamanda Msangi arejeshe simu na wallet yake.

Jamhuri:
Profesa nimezungumza na Kamanda Msangi juu ya tuhuma zinazomkabili kuwa aliambiwa na Dk. Ulimboka amrejeshee simu na wallet yake, na akakutaja wewe kuwa ulikuwapo wakati wa mazungumzo hayo. Wewe nini ulichokisikia kuhusiana na tuhuma hizi.

Profesa Museru:
Mimi ndiye niliyempeleka pale wodini. Ni bwana mzuri tu. Nilimu-introduce (nilimtambulisha), akaanza mahojiano. Mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet, hilo sikulisikia.

Jamhuri: Kuna habari kuwa Kamanda Msangi baada ya kuambiwa kauli hiyo alitoweka wodini bila kuaga akikwepa kipigo kama ilivyomtokea askari mwenzake siku mbili kabla. Je, unalizungumziaje hilo profesa?

Profesa Museru: Nini? Kwamba alikimbia? Jamani nchi hii inakwenda pabaya. Mimi nilimsindikiza hadi nje ya wodi akapanda gari lake na kurejea ofisini kwake, sasa hilo la kukimbia limetokea wapi? Jamani ehee, mimi niseme katika hali kama hii sintofahamu zipo nyingi. Ni vyema kuchuja taarifa tunazozipata.Daktari asisitiza polisi wanahusika
haisaidii sana jamani ukweli tutaupata kwa dr uli mwenye maana nasikia wakati haya ya kiendelelea huyo mselu hakuwepo alikuwa msangi na ndugu wa uli , kwa hiyo msangi asijaribu kutafuta shahidi wa kumfichia uongo wake,na madokta waliokuwa wanalinda ward ya dokta uli watakuwa mashahidi kama msangi aliinhgia na mseru.
 
yakutunga hii! kama muhusika hemed msangi jina linatajwa why huyo ndugu asitajwe! ndo yaleyale ya kwenda kutubu kanisani kwa mkenya!
 
Aisee!!Kifo hakina mwenyewe kila mtu anakiogopa,hivi hata Msangi anaetuhumiwa kumpiga na kumtesa,kisha kumtupa Dr.Uli,kule mabwepande akidhani wameishamuuwa,amepewa ulinzi akihofia maisha yake asije akauwawa,ndugu zake nao wanahofia usalama wa Msangi duu!!!!mchawi hushiriki kula nyama za watoto wa wenzie siku anapoambiwa amtoe mtoto wake wamle anaruka kimanga na kulalamika sana lakini mwisho wa siku anaishia kumtoa tu.Ikija thibitika Dr Uli amtaje kuwa alihusika basi auae kwa upanga asubiri upanga umuue.
 
Afya na usalama wa Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Nchini,Dr Steven Ulimboka aliyepelekwa nchini Afrika ya Kusini kwa matibabu baada ya kuumizwa vibaya na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 26 Juni,2012 na kutelekezwa katika pori la Mabwepande nje kidogo ya jiji la Dar es salaam,inaendelea vizuri.Hayo yalijulikana jana wakatiwww.nyumbanidoctor.comilipokua ikiongea na mmoja wa Daktari na rafiki wa karibu sana na Dr Ulimboka,ambaye yupo nchini lakini kwa sharti la kutotajwa jina kutokana na sababu za kiusalama.Chanzo hicho kilisema kuwa "wakati Dr Ulimboka anaondoka nchini,uwezo wa figo zake kusafisha damu ulikua chini sana hivyo kusababisha kiwango cha taka mwili kwenye damu kuwa juu mara kumi zaidi ya kiwango cha kawaida."Wataalamu wanasema kwamba kiwango cha kawaida cha taka mwili katika damu (createnine) ni 0.7 - 1.2 mg/dL au 60-110 μmol/l kwa mwanaume hata hivyo hadi 150 μmol/l bado inaweza kuwa haina tatatizo lakini ongezeko la mara kumi la taka mwili katika damu kama ilivyokuwa kwa Dr Ulimboka ni kubwa mno.Chanzo hicho kilisema kuwa baada ya matibabu ya kushusha kiwango hicho cha taka mwili katika damu (Createnine) kushindika hapa nchini,ndipo pamoja na mambo mengine,Dr Ulimboka alipelekwa nchini Afrika ya kusini kwa ndege ya kukodi na sasa taarifa zinasema,kiwango cha taka mwili kwenye damu(createnine) yake kimeshuka sana kutoka ongezeko la mara kumi ya kiwango cha kawaida na sasa ongezeko ni mara mbili tu,juu ya kiwango cha kawaida,huu ni unafuu mzuri.Chanzo hicho kilisema kuwa kwa sasa,uwezo wa figo zake kufanya kazi,unaendelea kuimalika siku hadi siku kwani hata kiwango cha utoaji wa mkojo(urine) kwa siku unaendelea kuongezeka kadili siku zinavyosogea na kuongeza matumaini makubwa kwa afya yake naya figo zake kwa siku za usoni.Dr Ulimboka bado yupo kwenye chumba cha wagonjwa wanaoitaji uangalizi maalum(ICU) na kwa sasa ameanza kufanya mazoezi madago madogo ya kurudisha mwili wake katika hali ya kawaida,anaongea vizuri na anakula mwenyewe ni jambo ambalo linatia matumaini makubwa sana.Alipoulizwa ni lini,Dr Ulimboka atarudi nchini? Daktari huyo alisema kuwa kwa taarifa ambazo anazo ni kwamba Dr Ulimboka ameongezewa muda mwingine wa wiki tatu zaidi za matibabu na jopo la madaktari wanaoshughulikia matibabu yake.Chanzo hicho kilipoulizwa juu ya hali ya usalama wa Dr Ulimboka ikoje kwa sasa na kama ombi la kupewa ulinzi,ulioombwa na viongozi wa MAT kwa njia ya barua iliyoandikwa na kusainiwa tarehe 7Julai,2012 na Mwenyekiti,Dr Namala Mkopi kwenda Umoja wa mataifa(UN) lilikubaliwa.Alisema "Suala la kupewa ulinzi sio la kutangazwa na kusema kwenye vyombo vya habari kuwa,sasa tumepewa ulinzi,ila nikuhakikishie kuwa hali ya usalama wa Dr Ulimboka ni mzuri sana sasa na kama isingekuwa hivyo leo hii tungekuwa tunazungumza habari nyingine tofauti."Hata uchunguzi wetu umebaini kuwa kunagazeti moja hapa nchini,linalotoka kwa wiki mara moja,linaloandikwa kwa lugha ya Kiswahili liliripoti kuwa,kuna kundi la watu wanaosadikiwa kupanga kwenda kumdhuru Dr Ulimboka nchini Afrika ya Kusini,kundi hilo lilipokosa mbinu za jinsi ya kuingia katika chumba alicholazwa Dr Ulimboka ili kutimiza lengo lao hilo baya,kundi hilo lilitengeneza ajari,ili mmoja wao aliyepata ajari,alazwe katika hospitali aliyolazwa Dr Ulimboka,karibu au katika chumba kimoja na Dr Ulimboka ili aweze kutimiza azma yao mbaya,lakini mbinu hiyo iligunduliwa na watu hao awakuweza kufanikiwa.Katika mkutano wa madaktari,uliofanyika katika ukumbi wa watu wa Korea tarehe 13 Julai,2012 jijini Dar es salaam,viongozi wa mkutano huo walitoa taarifa za kuendelea vizuri kwa Dr Ulimboka na wakahaidi kusambaza picha zinazoonyesha jinsi Dr Ulimboka anavyoendelea vizuri na matibabu nchini Afrika kusini lakini mpaka sasa bado picha hizo hazijasambazwa kwa wadau ili waweze kuziona.Chanzo chetu hicho kilipoulizwa juu ya sababu zilizopelekea mpaka leo picha hizo kutosambazwa ,kilisema kuwa,wapo watu maalum walioteuliwa kwa ajili ya kufatilia matibabu na hali ya Dr Ulimboka,ndiyo wenye hizo picha na ndiyo wanaowajibika katika suala la kusambaza picha hizo,lakini hivi karibuni lipo suala fulani limejitokea lililorudisha nyuma utekelezwaji wa ahadi hiyo,hivyo kwa sababu za kiusalama picha hizo azikuweza kusambazwa kama ilivyohaidiwa hata hivyo tunaendelea kuangalia ni jinsi gani tunaweza kufanikisha ahadi hiyo baada ya picha hizo kuchaguliwa kwa umakini.Ikumbukwe kuwa siku ya Mkutano wa madaktari,uliofanyika katika ukumbi wa utamaduni wa watu wa Korea,jijini Dar es salaam,timu hii iliyopo nchini,inayofatilia kwa karibu afya na mwenendo wa matibau ya Dr Ulimboka nchini Afrika ya Kusini,ilitakiwa kupita mbele na kutoa taarifa ya mwenendo wa afya ya Dr Ulimboka toka apelekwe Afrika ya Kusini kwa matibabu lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida,watu hao kwa sababu za kiusalama awakuweza kutoa taarifa mbele ya wajumbe wa mkutano huo badala yake ilisomwa taarifa ya mwenendo wa afya ya Dr Ulimboka.
 
We kimkardash, kwahiyo ulitaka aseme nini, aseme ndivyo ilivyokuwa? wakati anajua mabosi wake wanahaha kumtengeneza mkenya feki ili wamuokoe!
 
sikiliza we kijana acha kukurupuka,vipi kuhusu profesa?unataka kusema nae alikula njama pia?hebu soma hii comment yake kwa faida yako then uje kivingine sio kudandia dandia mambo kishabiki bila kupima kwanza.

Profesa Museru: Nini? Kwamba alikimbia? Jamani nchi hii inakwenda pabaya. Mimi nilimsindikiza hadi nje ya wodi akapanda gari lake na kurejea ofisini kwake, sasa hilo la kukimbia limetokea wapi? Jamani ehee, mimi niseme katika hali kama hii sintofahamu zipo nyingi. Ni vyema kuchuja taarifa tunazozipata.
Nimecheka mpaka nimepaliwa, Hivi huyo prof Mseru kaajiliwa na nani? kama serikali ndio bosi wake, na imeumbuka mbele ya ulimboka, ulitegemea prof Mseru aseme nini? au yeye ndio hataki kulinda kibarua chake? kwa hili hapana labda ulete utetezi mwingine.
 
Nasikia alipewa ukubwa kwenye tume ya uchunguzi ili amalizie kazi aloiacha, na Kova alimtolea lile kengeza lake akamwambia, nanukuu, 'this time no mistake'

Mze lile sio kengeza ni jicho la bandia.......nasikia ni jicho la kenge pori lile
 
Hii laana itakuwa imeanza kumtafuna siku nyingi kama huu mchezo aliuanza long na itamtafuna na kizazi chake chote kama ndie mtesi wa watu wasio nahatia.

Mungu atamuadhibu na kumdhalilisha, kwani hatampa mlango wa kutokea.
 
Back
Top Bottom