Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,280
Ndugu Polepole nakumbuka uliitisha vyombo vya habari na kutoa shutma dhidi ya Mgombe wa Urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu A. Lissu kuwa "sio mwenzetu" na uliahidi kumuanika hadharani katika siku 7 za mwisho za kampeni.
Napenda kuchukua fursa hii kukumbusha ahadi yako hii, japokuwa una kazi nyingi za kuratibu kampeni za lala salama, lakini kuna umuhimu wa kulishughulikia suala hili kama karata ya mwisho katika ushindi.
Kinyume na hapo tutaanza kuamini kwamba ulikuwa unapiga porojo tu na hata kutia doa ahadi nyingi nzuri zilizozwekwa kwenye ilani unayoinadi hivi sasa.
Kumbukizi
Uchaguzi 2020 - Ndugu Polepole kitendo cha kusema hadharani kuwa Lissu "Siyo mwenzetu" na umepanga kumuanika siku saba za mwisho ni upuuzi mwingine katika siasa!
Napenda kuchukua fursa hii kukumbusha ahadi yako hii, japokuwa una kazi nyingi za kuratibu kampeni za lala salama, lakini kuna umuhimu wa kulishughulikia suala hili kama karata ya mwisho katika ushindi.
Kinyume na hapo tutaanza kuamini kwamba ulikuwa unapiga porojo tu na hata kutia doa ahadi nyingi nzuri zilizozwekwa kwenye ilani unayoinadi hivi sasa.
Kumbukizi
Uchaguzi 2020 - Ndugu Polepole kitendo cha kusema hadharani kuwa Lissu "Siyo mwenzetu" na umepanga kumuanika siku saba za mwisho ni upuuzi mwingine katika siasa!