Ifike mahala tuheshimu mamlaka zilizowekwa kwa mjibu Wa sheria;
Suala la utekwaji "MO" lipo kwenye uchunguzi, na vyombo vya dola vinaendelea na uchunguzi huo, mwenye taarifa juu ya utekwaji huu anaombwa either kuzipeleka central / kituo chochote au awasiliane na familia ya mtekwaji.
Kitendo cha kufanya mkutano kuongelea swala ambalo lipo kiuchunguzi ni kufanya kosa ambalo linaweza sababisha kuharibu upelelezi unaofanywa na Jeshi.
Kwahiyo ndugu lema na wenzake wasithubutu kufanya makosa hayo! Jeshi linafanya upelelezi kwa gharama kubwa ambazo zinatokana na kodi za wananchi; kwahiyo haliwezi kuruhusu mtu yeyote aharibu uchunguzi huu kwa mitaji ya kisiasa!
Asije akalaumu akithubutu kwasabu haitawezekana na atakamatwa haraka sana!!! labda ajirecord chumbani kwake;
Suala la utekwaji "MO" lipo kwenye uchunguzi, na vyombo vya dola vinaendelea na uchunguzi huo, mwenye taarifa juu ya utekwaji huu anaombwa either kuzipeleka central / kituo chochote au awasiliane na familia ya mtekwaji.
Kitendo cha kufanya mkutano kuongelea swala ambalo lipo kiuchunguzi ni kufanya kosa ambalo linaweza sababisha kuharibu upelelezi unaofanywa na Jeshi.
Kwahiyo ndugu lema na wenzake wasithubutu kufanya makosa hayo! Jeshi linafanya upelelezi kwa gharama kubwa ambazo zinatokana na kodi za wananchi; kwahiyo haliwezi kuruhusu mtu yeyote aharibu uchunguzi huu kwa mitaji ya kisiasa!
Asije akalaumu akithubutu kwasabu haitawezekana na atakamatwa haraka sana!!! labda ajirecord chumbani kwake;