Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,990
- 103,372
Uzuri ni kwamba lissu ataendelea kuwa mpinzani wa serikali iliyopo madarakana hivyo haina madhara.
Sio kwa kura za wananchi bali utashi wa rais kuwaagiza polisi na tume ya uchaguzi kumtangaza yeye mshindi.