Hata Ndugai kamsaliti mwendazake....kazi kweli.
Ndugai alikuwa sahihi kipind fulan kuwa kuacha mrad wa bagamoyo ni umama ,leo msumbuji wameenda kutekeleza kujenga bagamoyo yao wataingiza pesa...kama kulikuwa na masharti mabaya wangefanya reformation au angepewa mtu mwingine sio lazima wachina.

Leo smelter inajengwa Rwanda, Tanzania hakuna ni maneno tu
 
Job kiboko, I wish uchaguzi ungeanza na upya maana huko bungeni ni vituko tu aisee!!! Kama job leo ndo anasema hayo maneno vipi hao wengine wabunge wa kila kitu ndio! Mama asipokuwa makini izi raia zitampoteza
 
Naona Bwana Ndugu anafamilia Bandari ya Bwanga moyo, lakini sina hakika kama imo katika ilani ya CCM ya awamu hii. Kama Haimo,Ndugai anataka kutuambia nini? Tamani Mh. Rais mama Samia akatishe kampeini hii kwa kusema Bandari ya siyo kipaumbele changu!

Wasikuchanganye mama. Hukumshauri JPM MIAKA YOTE MITANO, IWEJE LEO MAMA HAJAMAKIZA HATA MWEZI UNAMSHAURI AINGIE MKATABA KAMA HUO?! Kwanza tumalizie miradi tuliyokwisha anza. SGR, BWAWA la Nyerere meli mpya, daraja la Busisi n.k.
 
Haimooo ila kuna mapwesaa inasemekana waliyalaaaa kbl ya mkulungwa kuwa przdaaa sasa wenywe wanayataka kama wameshindwa kukamlsha dili wayrudshee.

Ndio kama hivyoo unavyoomuona kawa mchinaa hapo kwa rangi ni mbongooo ndanii ni mchinaaa na serikwali ya china ndio imekalia kiti chetuuu.

Wazee wanasema mizimu ikipandaa ndio kama hvyoo anakua hadi mkalii yule msaliti mgogyooo.

"Akishindwa anatakiwa kuzitapika" ndio akijipigia promo kuwe na sheria asifungwe.

Nimeandika hovyo hovyo kama walivyo hovyo hovyo wale wajuba na mgyogyo wao.
 
Sasa Ndugai anaanza kufundisha mambo ya bandari na uchumi bungeni. Cha kushangaza anaeleza mambo muhimu mawili ktk bandari, kwa uelewa wake. Yaani bandari iwepo au hapana? Na, nani ajenge mchina au canada nk.

Anakwepa tatizo letu Wanzania, mkataba. Mkataba aliokuwa akiutetea kwamba mkubwa; Magufuli alipotoshwa, ukoje? Iwe china, iwe canada tatizo ni mkataba.

Na, yeye kutukumbushia presentation yake na wachina, alioneshwa mkataba? Nini kinamsukuma hadi leo kuwatetea wachina? Hakuwatetea wengine, asidanganye. Aliwasifu wachina na upendo kwa TZ.
 
Tanzania ya sasa sio ya kuchezewa kama ile ya kina nyoka wa makengeza. Naona kuna mtu anataka kuchimba shimo bila kujua ataingia mwenyewe
 
'
IMG_20210409_214539.jpg
 
Sasa Ndugai anaanza kufundisha mambo ya bandari na uchumi bungeni. Cha kushangaza anaeleza mambo muhimu mawili ktk bandari, kwa uelewa wake. Yaani bandari iwepo au hapana? Na, nani ajenge mchina au canada nk.

Anakwepa tatizo letu wa-TZ, mkataba. Mkataba aliokuwa akiutetea kwamba mkubwa; Magufuli alipotoshwa, ukoje? Iwe china, iwe canada tatizo ni mkataba. Na, yeye kutukumbushia presentation yake na wachina, alioneshwa mkataba? Nini kinamsukuma hadi leo kuwatetea wachina? Hakuwatetea wengine, asidanganye. Aliwasifu wachina na upendo kwa TZ.

IMG-20210412-WA0145.jpg
 
Sasa Ndugai anaanza kufundisha mambo ya bandari na uchumi bungeni. Cha kushangaza anaeleza mambo muhimu mawili ktk bandari, kwa uelewa wake. Yaani bandari iwepo au hapana? Na, nani ajenge mchina au canada nk...
Sababu ni mwendazake ndo aliesababisha mpaka huyo mgogo hajielewi aisee
 
Haya ndio madhara ya kuongoza watu kidikteta, siku umeondoka watu wanaanza kuongea wanachokiamini ambacho ni tofauti ni ulichokuwa unawalazimisha wafanye. Lakini ni funzo pia kwa nchi hii kuwa vetting system haifanyi kazi na matokeo yake ndio haya utawala umejaa deadwoods kibao wasio kuwa na wanachokiamini zaidi ya matumbo yao.
 
Haya ndio madhara ya kuongoza watu kidikteta, siku umeondoka watu wanaanza kuongea wanachokiamini ambacho ni tofauti ni ulichokuwa unawalazimisha wafanye. Lakini ni funzo pia kwa nchi hii kuwa vetting system haifanyi kazi na matokeo yake ndio haya utawala umejaa deadwoods kibao wasio kuwa na wanachokiamini zaidi ya matumbo yao.
Big thinking hii
 
Huyu Job Yustino Ndugai ni speaker wa ajabu ambaye hajawahi kutokea katika uongozi wa mabunge yote Africa na duniani kwa ujumla wake.

Ni mwanasheria kanjanja kitaaluma katika matendo na mwenendo wake hauna weledi kabisa na haiba, umri na nafasi yake aliyonayo kama kiongozi wa muhimili muhimu wa kutunga sheria na pia kusimamia serikali.

Kuna kipindi akifanya kitendo cha ajabu sana kwa kumtandika bakora hadharani mgombea mwenzake tena wa CCM kwenye kura za maoni lakini kamati ya maadili ya CCM ililifumbia suala hilo kana kwamba ilikuwa ni sahihi yeye kufanya kitendo cha kinyama mbele ya jamii.

Na alivyo na kiburi hakusubutu hata kuomba radhi kuonyesha uungwana wake kabisa.

Kipindi cha serikali ya awamu ya tano alikuwa muda wote kwenye hidhifa za kitaifa anazunguka na Joho lake muda wote kana kwamba hana nguo nyingine za kuvaa.

Kipindi hicho pia wakati mwendazake akiongea muda wote alionyesha kutingisha kichwa kuonyesha kuwa yaliyosemwa ni kweli na hakika.

Sasa anapisema Rais hakushauriwa vizuri kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo sasa hv ina maana kipindi hicho yeye hakuwa na platform ya kutoa ushauri wakati muda wote alikuwa Bega kwa Bega na Mh. Rais (RIP).

Suala la hawa wabunge 19 wasio na chama na matamshi yake yanayokuwa restospective ndio yanadhihirisha ni mtu wa aina gani.

Ushauri: Brother Job tenda haki na itakuweka huru kweli kweli na jaribu kuwa na simile wakati unaongea kama kiongozi wa Bunge tuna mategemeo makubwa sana toka kwako.
 
Mwisho ndio umekosea kabisa"Yaani unamtegemea Job Ndugai', brother kwa uongozi or busara zipo.Utategemea sana broo'KAPUTRA LA MAX BY KEIZIRAABI".
 
Back
Top Bottom