Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma:

1)
Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

2) Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Ndugai ni Kenge kama kenge zingine,anataka auze kila kitu sasa kwenye hii nchi
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma:

1)
Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

2) Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Mzee alikuwa na Manafiki mengi humo ndani kwake ndo maana hata moyo ukashindwa kuvumilia
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma:

1)
Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

2) Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Hapa ndio naona kweli hatuna wataalamu, hivyo tulete wageni waweze kutoa kauli zenye haki na urojo rojo wa maendeleo
 



Hapa Ndingai anaishangaa serikali kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Anasema alikwenda China katika mji wa Chenzen ambako ndiko yaliko makao makuu ya wajengaji wa bandari. Walimuonyesha presention nzima a hakuona tatizo.

Pia wale wajamaa wanaoujua urafiki wa China na Tanzania wengi wamestaafu na wawili waliobaki waliwaambia wafanye haraka kufanya maamuzi ya ujenzi kwani wao of akiondoka, kizazi kipya kiko ki faida zaidi.

Guilty consciousness 🤣🤣🤣 Anaogopa kutajwa kwenye report ya CAG maana naye awaeleze WaTz pesa ya matibabu India receipt zipo wapi!
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achia vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la. Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Why so sudden kuhusu mradi huu!
 
Mikataba kwanini isiwekwe wazi na wananchi wenye nchi kuitolea maoni... yaani unataka ukisema ni mbaya tushangilie pia ukisema ni mzuri tushangilie bila ya kunua content?

Credibility ya bunge kuwa muwakilishi wa wananchi ilishapoteaga kwakuwa bunge limeidhinisha masuala mengi yasikuwa na manufaa kwetu.

sasa wananchi tunataka tuamue sote kwa pamoja kuhusu nini chenye manufaa kwetu... wekeni hiyo document mezani
 
Namshangaa Dr Abas bado anaishi kwenye kivuli cha mzee Magu ashtuke mapema vingnevyo atavuna mabua Kama mihimil mikuu inabadil msimamo akae chonjo

Lakn hapa nawaza tu kidarasa la chekechea B KWEL ILE SAFARI YA WAZIR WA CHINA ILIKUWA YA HERI JAMANI HEBU TUISHI HUMU HUKU TUKITAFAKARI UJIO WA YULE WAZIRI

Na ndipo walianza “kudondoka” watu na hatimaye akafikiwa mlengwa!!

Dah!
 
Kilichoonyeshwa na ndugai Jana, nimebaki mdomo wazi.Nchi yetu Ina viongozi wa ajabu Sana Binafsi namuamini Sana lissu kwa kutokuwa kigeugeu
 
Kwa nini tusiitengeneze sisi wenyewe kwa fedha zetu za ndani na kwa wataalam wetu wa ndani?-Alisikika magu2016 mzalendo namba moja wa nchi hii!
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achia vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la. Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Kwa aina ya Wabunge walioko Bungeni na spika wao Ndungai usitegemee kizuri hapo-
 
Back
Top Bottom