Usipokuwa na kiasi ufuasi wa kiwango hiki ndo hupelekea kufanya ibada na kusujudu visivyo Mungu.
 
Lile soko likiendelea kuitwa ndugai itakua ni kumdhalilisha marehemu na haya yanayoendelea kwa huyu mchumia tumbo asiye na haya ,aliwahi mchapa mtu bakora kwa uchu wa madaraka .Nafikiri aliyelipa lile soko jina la ndugai alishauriwa vibaya, na mimi nikiendelea kuliona naghadhibika kuhusu maneno ya hiki kiumbe kisicho na chembe ya shukrani.
Kama sitofanikiwa kulivunja basi nikang'oe yale maandishi tu

Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize adhima yangu!
Nipitie na mimi nipo hapa Kibaigwa twende wote kazi ikawe nyepesi kuondoa yale maandishi.
 
Ndugai alikuwaga anahonga mademu UDOM hadi dollars 10,000 naye CAG amkague
 
Inapendeza kuona wanafiki wa CCM wanageukana!

Wapinzani walionekana ndio wanachelewesha maendeleo kwa mujibu wa jiwe!

Leo hii ni vita ya MATAGA/WAPAMBE/YATIMA Vs CCM asilia !

Mimi nasema Bi Mkubwa Endelea kukandamiza bakora hapo hapo!
 
Lile soko likiendelea kuitwa ndugai itakua ni kumdhalilisha marehemu na haya yanayoendelea kwa huyu mchumia tumbo asiye na haya ,aliwahi mchapa mtu bakora kwa uchu wa madaraka .Nafikiri aliyelipa lile soko jina la ndugai alishauriwa vibaya, na mimi nikiendelea kuliona naghadhibika kuhusu maneno ya hiki kiumbe kisicho na chembe ya shukrani.
Kama sitofanikiwa kulivunja basi nikang'oe yale maandishi tu

Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize adhima yangu!
Ukifika Ddm nitafute! Ninayo bucket crane truck tukasaidiane kuling'oa lile jina, mwendazake hakuwajua kwamba wanadamu ni soo, bora ukamfadhili mbuzi, utamla nyama, sio binadamu! Wamemtosa akingali mbichi!
 
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99
Ndugai ni nani kitaalamu⁉️‼️, Magufuli alitoa sababu lukuki kwanini mradi haufai, yeye anasababu moja tu "Magufuli alishauriwa vibaya"; na nani⁉️‼️‼️🤔
 
Unaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.

Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu
Hiki ndicho kipimo cha kwanza kwa rais
 
Mbona Yakobo anakula matapishi yake kabla hata jogoo hajawika⁉️⁉️🤔🤔

Hapa ndipo huwa nafiri kuwa kama Mungu yupo basi atajionesha kukicha na baada ya jogoo kuwika
 
Back
Top Bottom