Aise, hivi kama mtu aliyekuwa na kicha cha pembe nne kikawa cha duara kuna haja ya kuhangaika naye? Anyways soko letu tuachie tu halina kosa deal na wahusika.
Alafu liitwe jina gani?AT LEAST KANG'OE KILE KIBAO CHENYE JINA LA HUYO MGOGO!!
Nipitie na mimi nipo hapa Kibaigwa twende wote kazi ikawe nyepesi kuondoa yale maandishi.Lile soko likiendelea kuitwa ndugai itakua ni kumdhalilisha marehemu na haya yanayoendelea kwa huyu mchumia tumbo asiye na haya ,aliwahi mchapa mtu bakora kwa uchu wa madaraka .Nafikiri aliyelipa lile soko jina la ndugai alishauriwa vibaya, na mimi nikiendelea kuliona naghadhibika kuhusu maneno ya hiki kiumbe kisicho na chembe ya shukrani.
Kama sitofanikiwa kulivunja basi nikang'oe yale maandishi tu
Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize adhima yangu!
Alafu liitwe jina gani?
Uko sahihi mkuu ila huwa wanasema kila kitabu na zama zake.CHIEF MAZENGO ! OR JOB LUSINDE! HAWA NI WAGOGO WALIOISHI MAISHA YA KUTUKUKA Kuliko huyu mgogo hapo bungeni.
Kama alianza yeye kujichafua kwa nini msimalizie tu mkuu?ndugai ajitulize tusije mchafua
ndugai ajitulize tusije mchafua
Uko sahihi mkuu ila huwa wanasema kila kitabu na zama zake.
Ukifika Ddm nitafute! Ninayo bucket crane truck tukasaidiane kuling'oa lile jina, mwendazake hakuwajua kwamba wanadamu ni soo, bora ukamfadhili mbuzi, utamla nyama, sio binadamu! Wamemtosa akingali mbichi!Lile soko likiendelea kuitwa ndugai itakua ni kumdhalilisha marehemu na haya yanayoendelea kwa huyu mchumia tumbo asiye na haya ,aliwahi mchapa mtu bakora kwa uchu wa madaraka .Nafikiri aliyelipa lile soko jina la ndugai alishauriwa vibaya, na mimi nikiendelea kuliona naghadhibika kuhusu maneno ya hiki kiumbe kisicho na chembe ya shukrani.
Kama sitofanikiwa kulivunja basi nikang'oe yale maandishi tu
Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize adhima yangu!
Ndugai ni nani kitaalamu⁉️‼️, Magufuli alitoa sababu lukuki kwanini mradi haufai, yeye anasababu moja tu "Magufuli alishauriwa vibaya"; na nani⁉️‼️‼️🤔Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99
Hiki ndicho kipimo cha kwanza kwa raisUnaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.
Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu