Kolomije wa Dar
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 284
- 789
Usikute alikuwa anakula mshahara wa Lissu na CAG kaliona hilo na ndio maana amegoma kufanya Kazi nae
Akiwa ni kutoka kijani kibichi bado nae atakuwa hivyohivyo kama huyo jamaa.Yeye alivyoumwa akakatwa nanii angeacha kupewa mshahara kwa muda huo angejiskiaje!! Nimuda sasa tuwe na Spika muislam swala tano hawa wakristo wanarahisisha sana ibada.
Hilo nalo neno!!!!Usikute alikuwa anakula mshahara wa Lissu na CAG kaliona hilo na ndio maana amegoma kufanya Kazi nae
KAONEWA HURUMA BADO MNAKUJA NA MANENO MAGUMU MAGUMU HUMU MNAMPONZA MWENZENU
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye alivyoumwa akakatwa nanii angeacha kupewa mshahara kwa muda huo angejiskiaje!! Nimuda sasa tuwe na Spika muislam swala tano hawa wakristo wanarahisisha sana ibada.
Siku nikimuamini huyo Mpuuzi nizikeni nikiwa hai.Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mhimili huo wa Dola umeshamlipa madai yake yote mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu huku akimwagiza kuwa kama ana jambo lolote kuwasiliana na mamlaka husika na si kutumia mitandao ya kijamii.
“Pale bungeni hatumuonei mtu hata kidogo...wameshamlipa,” alipoulizwa amelipwa madai gani alisema, “usitake tena… yaani hana madai. Kama ana madai mengine atasema.”
Mbunge huyo amekuwa nje ya nchi tangu Septemba 7, 2017 baada ya kushambuliwa kwa risasi katika makazi yake Area D jijini Dodoma. Mpaka sasa yupo Ubelgiji akiendelea na matibabu.
Katika maelezo yake, Ndugai alisema Lissu anatumia njia zisizo nzuri kueleza masuala yake, likiwamo hilo la madai yake.
“Hii si njia nzuri ya mawasiliano. Ninachosisitiza mtu ni mtumishi katika taasisi unatakiwa kuwajibika kwa watu fulani fulani lakini huwatambui huwasiliani nao,” alisema Ndugai.
Alimshauri Lissu kutafuta ufumbuzi wa masuala yake ya bungeni kupitia viongozi mbalimbali wa upinzani.
“Haki ya mtu ni haki ya mtu, siwezi kusimama katikati ya haki ya mtu… sifuatiliagi mshahara wa mtu mmojammoja mwisho wake nitahamia uhasibu,” alisema Ndugai huku akicheka.
Kilichobadilika ni baada tu ya wao kugundua hata wakimnyima haisaidii kitu, maana Wananchi wanamchangia zaidi ya hizo walizomnyima.nini kimebadirika had wamekubali kumlipa??
hata aibu hawana hawa maccm
Stahiki zake ni huruma??KAONEWA HURUMA BADO MNAKUJA NA MANENO MAGUMU MAGUMU HUMU MNAMPONZA MWENZENU
Sent using Jamii Forums mobile app
KAONEWA HURUMA BADO MNAKUJA NA MANENO MAGUMU MAGUMU HUMU MNAMPONZA MWENZENU
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile sio pesa za baba wa yeyote kati yetuKAONEWA HURUMA BADO MNAKUJA NA MANENO MAGUMU MAGUMU HUMU MNAMPONZA MWENZENU
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwl akil huna ww haki yako kuonewa huruma?kwl lumumba kuna kozi ya ujinga inafundishwaKAONEWA HURUMA BADO MNAKUJA NA MANENO MAGUMU MAGUMU HUMU MNAMPONZA MWENZENU
Sent using Jamii Forums mobile app