Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Kwenye kikao cha bunge kinachoendelea spika amesema wabunge wa UKAWA ambao hawakuunga mkono bajeti ya serikali isipelekwe miradi ya maendeleo katika majimbo yao. Hali hiyo imezua mshangao ndani na nje ya mhimili huo
Jana hazeti la Nipashe liliripoti kwamba Muhongo hajaonekana bungeni kwa wikitano sasa.Leo gazeti hilo limemnukuu profesa huyo akisema yupo mapumziko.Wakati huo upngozi wa bunge hauna taarifa za wapi alipo kada huyo msomi
Swali mmojatu kwa Ndugai
Je hukumu ya Muhongo ni ipi na kama UKAWA hawatakiwi kupelekewa miradi ya maendeleo wananchi wanaowakilishwa na mbunge huyo watarajie nini?
Nawatakia ijumaa njema
Jana hazeti la Nipashe liliripoti kwamba Muhongo hajaonekana bungeni kwa wikitano sasa.Leo gazeti hilo limemnukuu profesa huyo akisema yupo mapumziko.Wakati huo upngozi wa bunge hauna taarifa za wapi alipo kada huyo msomi
Swali mmojatu kwa Ndugai
Je hukumu ya Muhongo ni ipi na kama UKAWA hawatakiwi kupelekewa miradi ya maendeleo wananchi wanaowakilishwa na mbunge huyo watarajie nini?
Nawatakia ijumaa njema