Hata Samia ni Bavicha?Bavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
Utazani una kazi ya maana. Wenye kazi zao wapo kimyaaaBavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
anaondolewaje sasa, tuanzie hapo kwanza...Ndugai ni tatizo sana Tanzania, asipoondolewa, kuna shida mbele inakuja
Sijui kama kuna utaratibu wowote a kumwondoa, ngoja niulize wajuaji wa mambo hayaanaondolewaje sasa, tuanzie hapo kwanza...
Afadhali alifariki mapema maana angeshuhudia haya angekumbuka alivyoharibu Bunge la Katiba!Atakumbukwa Mzee wa Bunge la Viwango, Samwel Sitta
KabisaNi kikao cha Ccm kwa style tofauti
The guy must be sanctioned with 'vote of no confidence' by the legislative house to uphold the parliament dignity. He can't be trusted anymore for behaving like a chameleon lizard on issues of national interests; it is too ridiculous to persevere.Speaker wa Bunge ndiye chanzo cha bunge zima kuchanganyikiwa. Kama baba wa bunge akiwa anaonekana waziwazi kuwa haridhishwi na jambo hili na lile la Magufuli au la Samia watoto wa bunge watakuwaje?
Mfano, maoni yake hadharani bila kufuata vikao juu ya Bandari ya Bagamoyo ni langu kuu la kutia Mashaka integrity ya maamuzi ya JPM.
Inawezekana jambo moja tu lililomfurahisha spika kwa awamu ya tano ni kuhamia Dodoma na miradi ya Dodoma na ujenzi wa SGR hadi Dodoma baaasi. Nothing less nothing more.
NakubaliNdugai ni tatizo sana Tanzania, asipoondolewa, kuna shida mbele inakuja.
Hapo sawa, naona posho yote imetoka sasa mkuu umerudi kwenye rangi yako.Bavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
Ana mkwaza mama ndiyo maana upepo unaanza kubadilika, wanaweza kumvumilia mpaka 2025Lakini huyo Spika Ndugai kachaguliwa na chama chake yaani CCM.
Kama anasimamia na kulinda maslahi ya chama chake sioni kama kelele za nje ya bunge zitamwondoa.
Waliompendekeza ni CCM,Waliomchagua ni wabunge wa CCM.
Ha ha ha haaaaaaaa!!! Ila mwendazake alizingua sana!Babu tale atachangia lini?
Maana jamaa anatema nondo sana
Ova
Karibu Dodoma!Hapo sawa, naona posho yote imetoka sasa mkuu umerudi kwenye rangi yako.
Ni tatizo Tanzania, yaani muono wako unalazimisha watanzania 60 million. Hongera sana.Ndugai ni tatizo sana Tanzania, asipoondolewa, kuna shida mbele inakuja.
Ccm IPI? Wenye ccm ni akina Kingunge Mwiru, Kinana, Makamba, Msindai, nk. Wote hao walinyang'anywa CCM wakapewa wasioifahamu ccm kaaabiisa.Lakini huyo Spika Ndugai kachaguliwa na chama chake yaani CCM.
Kama anasimamia na kulinda maslahi ya chama chake sioni kama kelele za nje ya bunge zitamwondoa.
Waliompendekeza ni CCM,Waliomchagua ni wabunge wa CCM.
Hii kazi unaiweza snKaribu Dodoma!
Tujikumbushe kwenye kampeni za uchaguzi 2015. Unategemea nini kwa mtu kama huyu?!!!Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,
Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.
Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.
Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.
1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.
2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.
3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.
Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.
4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.
5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.
Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.
Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.
Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.
Ni Mhere Mwita.