Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mwaka 2025 ni mwisho wa Ndugai na Majaliwa katika kugombea Ubunge.
Ndugai u-spika wake wa miaka 10 unakoma 2025.
Majaliwa uWaziri Mkuu wake mwisho 2025.
Hakuna cheo kingine kikubwa kwao zaidi ya Urais na uMakamu wa Rais.
Hivyo 2025 hawana cha kupoteza kabisa maana Ubunge siyo issue kwao.
Ndugai u-spika wake wa miaka 10 unakoma 2025.
Majaliwa uWaziri Mkuu wake mwisho 2025.
Hakuna cheo kingine kikubwa kwao zaidi ya Urais na uMakamu wa Rais.
Hivyo 2025 hawana cha kupoteza kabisa maana Ubunge siyo issue kwao.