Ndugai: Mnyika alikataa kukaa chini nikamtoa nje, Salehe asema niliwaambia Upinzani tutoke nje

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Akiuliza swali leo mbunge Alli Salehe kwa spika wa bunge amemuuliza ni kwanini Ester Bulaya na Halima Mdee hawajahojiwa na kamati ya maadili na haki na hukumu yao imetolewa tayari.

Amesema pia kwamba Halima Mdee na Bulaya walipewa barua ya kuitwa lakini hawakufanya hivyo wala kutoa taarifa yoyote.

Mbunge Ali Salehe pia ameuliza uhalali wa Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutolewa bungeni wakati aliitwa "Mwizi" na mbunge wa CCM

Spika amesema kwamba Mnyika ni mbunge mzoefu na anajua vizuri kanuni na hakutakiwa kufanya hivyo kwa kuvunja sheria zilizowekwa na bunge.
 
Akiuliza swali leo mbunge Alli Salehe kwa spika wa bunge amemuuliza ni kwa nini Eater bulaya na Halima mdee hawajahojiwa na kamati ya maadili na haki na hukumu yao imetolewa tayari.

Amesema pia kwamba Halima mdee na Bulaya walipewa barua ya kuitwa lakini hawakufanya hivyo wala kutoa taarifa yoyote
Mbunge Ali salehe pia ameuliza uhalali wa Mbunge wa ubungo John Mnyika kutolewa bungeni wakati aliitwa "Mwizi" na mbunge wa CCM

Spika amesema kwamba Mnyika ni mbunge mzoefu na anajua vizuri kanuni na hakutakiwa kufanya hivyo kwa kuvunja sheria zilizowekwa na bunge.
Mheshimiwa Ally Salehe na wewe vipi, unajua kabisa huyo mtu ana shida kwenye ubongo na bado anapata matibabu ya akili India halafu unamuuliza maswali magumu hivyo!
 
Mnyika alitakiwa awe mpole luside amalize kisha aombe muongozo mwingine kuhusu kuitwa mwizi. Lakini yeye akataka kuleta ubabe, wakati anajua mbabe zaidi yake amekalia kiti

Kosa alilolifanya Ndugai kushindwa ku neutralize hii issue,angehakikisha na Lusinde anapata adhabu walau ndogo tu ya kudanganyia,yoooote haya sosi ni Lusinde ambaye alimwita mwenzie Mwizi,

lilikuwa ni suala la kutrace Kamera kujiridhisha nani alosema Mnyika Mwizi then nae kanuni ziangaliwe anaadhibiwaje?Kinacholeta ukakasi ni ile hali ya kumuacha Lusinde ambaye ni sosi ya tatizo na kuwaadhibu wengine ambao ni MATOKEO YA TATIZO
 
Back
Top Bottom