chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,975
- 20,614
Ni wazi kwa line-up ya Bunge imeshapangwa tayari.
Huku Dk. Tulia,kule Steven Masele
Kinachofanyika sasa ni kumbomoa spika Ndugai kutokea ndani,tayari kwa upande wa wabinge wa upinzani ameshabomoka, sasa anabomolewa katika jamii tena ubomoaji unafanyika katika Mazingira ambayo Mwenyekiti wake wa Chama yupo,au Ndugai ana taarifa kwamba Mwenyekiti wake alizipata
Ilianza kwa Masele,Masele alikuwa na Mawasiliano na Wakuu wa juu kabisa nchini waliomwambia ampuuze tu
Sasa fataki nyingine ya imetoka mbele ya Mwenyekiti wa Chama,safari hii ikivurumishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndugu Makonda,na hapohapo akapewa safari ya kwenda Misri na Mwenyekiti wa Chama can Mapinduzi,ambaye ndiye ana nguvu kubwa ya kuteua spika.
Ndugai anabomolewa kwa umakini mkubwa,mpaka akija kushtuka,atakuta manyoya tu pale Bungeni
Huku Dk. Tulia,kule Steven Masele
Kinachofanyika sasa ni kumbomoa spika Ndugai kutokea ndani,tayari kwa upande wa wabinge wa upinzani ameshabomoka, sasa anabomolewa katika jamii tena ubomoaji unafanyika katika Mazingira ambayo Mwenyekiti wake wa Chama yupo,au Ndugai ana taarifa kwamba Mwenyekiti wake alizipata
Ilianza kwa Masele,Masele alikuwa na Mawasiliano na Wakuu wa juu kabisa nchini waliomwambia ampuuze tu
Sasa fataki nyingine ya imetoka mbele ya Mwenyekiti wa Chama,safari hii ikivurumishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndugu Makonda,na hapohapo akapewa safari ya kwenda Misri na Mwenyekiti wa Chama can Mapinduzi,ambaye ndiye ana nguvu kubwa ya kuteua spika.
Ndugai anabomolewa kwa umakini mkubwa,mpaka akija kushtuka,atakuta manyoya tu pale Bungeni