Ndugai kwakuwa 'Umesanuliwa' tafadhali nawe usikubali, bali 'Kisanue' ili Watanzania tujue mengi yanayosemekana yamejificha na hayavumiliki kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,524
108,797
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
 
Spika hajajiuzulu.

Sijui hata imekuwaje,, huenda alikamatwa akafichwa na barua ikaandikwa.

Wamemuachia amekanusha
IMG-20220106-WA0119.jpg
 
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
Hana ubavu
 
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
Mazee wamemtuma mara mbili (kuomba radhi na kudhalilika) na (kuandikiwa barua ya kujiuzulu) hizo zatosha.

Baada ya hapo tumsikilize Magamba Matatu na updates.

Jenerali Ulimwengu alisema, "nchi hii ni ngumu".
 
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
Hata amini yatakayomkuta akifwata huu upupu
 
Ni kwamba Team MSG ina nguvu kuliko timu ya kawaida.

Team MSG ina kambi kabisa ya wale jamaa ambao aliwasema SloSlow na hawa ni hatari sana maana walijengwa na kuimarishwa between 2005 na 2015.

Lengo kuu ni kutumika kwenye makusudio maalum.

Hivyo hata DG wa mazee nae yupo matatani lakini bado alindwa na mjeda mkuu na wengine walomshika mama sikio siku ile ya maziko Chatou.

Ila mpaka sasa haijasawazishwa rasi hivyo yabakia bado mama ni 2021-2025 only.

Lakini operesheni maalum ya kumsaidia ili kuficha mazito yanoweza kuibuliwa khasa kuhusu JPM ndio imeanza.

Sasa mimi nipo Fort Green na nyeti nizipatazo zikiwa bado kwa kiingereza twasema "patchy".

Ila Magamba Matatu yumo ndani ya parametres, tumsikilize na kumfuatilia.
 
Umedika ule muda sasa waseme jiwe alikufaje kufaje, na uwahi kabla haujabanwa ballz......tuendako patamu kuliko tutokapo.
 
Ni kwamba Team MSG ina nguvu kuliko timu ya kawaida.

Team MSG ina kambi kabisa ya wale jamaa ambao aliwasema SloSlow na hawa ni hatari sana maana walijengwa na kuimarishwa between 2005 na 2015.

Lengo kuu ni kutumika kwenye makusudio maalum.

Hivyo hata DG wa mazee nae yupo matatani lakini bado alindwa na mjeda mkuu na wengine walomshika mama sikio siku ile ya maziko Chatou.

Ila mpaka sasa haijasawazishwa rasi hivyo yabakia bado mama ni 2021-2025 only.

Lakini operesheni maalum ya kumsaidia ili kuficha mazito yanoweza kuibuliwa khasa kuhusu JPM ndio imeanza.

Sasa mimi nipo Fort Green na nyeti nizipatazo zikiwa bado kwa kiingereza twasema "patchy".

Ila Magamba Matatu yumo ndani ya parametres, tumsikilize na kumfuatilia.
Conspiracy theories...
 
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
We mponze tu Kolo mwezio
 
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.

Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
Thubutu! Hana ujanja huo kama lisu alipona huyu hatapona mkuu
 
Ni kwamba Team MSG ina nguvu kuliko timu ya kawaida.

Team MSG ina kambi kabisa ya wale jamaa ambao aliwasema SloSlow na hawa ni hatari sana maana walijengwa na kuimarishwa between 2005 na 2015.

Lengo kuu ni kutumika kwenye makusudio maalum.

Hivyo hata DG wa mazee nae yupo matatani lakini bado alindwa na mjeda mkuu na wengine walomshika mama sikio siku ile ya maziko Chatou.

Ila mpaka sasa haijasawazishwa rasi hivyo yabakia bado mama ni 2021-2025 only.

Lakini operesheni maalum ya kumsaidia ili kuficha mazito yanoweza kuibuliwa khasa kuhusu JPM ndio imeanza.

Sasa mimi nipo Fort Green na nyeti nizipatazo zikiwa bado kwa kiingereza twasema "patchy".

Ila Magamba Matatu yumo ndani ya parametres, tumsikilize na kumfuatilia.
Ujinga mtupu. Job amefanya makosa ya wazi kabisa na hata kama angeyafanya wakati wa Jiwe angetimuliwa vilevile.
 
Back
Top Bottom