GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,524
- 108,797
Nakukubali sana Spika Ndugai ( na hivi ni mwana Simba SC Mwenzangu ) na hata Asili ya Wagogo siyo Watu Waoga Waoga kama Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wanyamwezi, Warangi na Wakara hivyo nakuomba kwakuwa Mama "amekusanua' hivyo nawe pia ( Kumbuka Wewe ni Mwanaume ) kwahiyo usiogope bali nawe 'msanue' na 98% ya Watanzania 'tunaokusapoti' tutakulinda tu dhidi ya Wanyama Wakali na Hatari wa Msaada Kontena Oysterbay kama wakitaka Kukunyoosha mazima.
Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.
Usituangushe Spika Ndugai msanue tu.