Ndugai huyu huyu aliyekuwa akilamba viatu vya Jiwe? Ndugai huyu huyu aliyemeza matapishi yake kwa kuomba msamaha kwa kauli ambayo angeweza kuisimamia na kuitetea kwa hoja?Kwa hiyo CHADEMA mna ubaguzi ??? Mnachagua dhahabu tupu ? Shaba hamzitaki, kwa majibu ya baadhi yenu inaonyesha wazi Chadema ni chama cha wabaguzi ,inawezekana mkamkubali na baada ya muda mkaona alichelewa kujiunga nanyi ,huwezi jua ya Mungu mengi.
Halafu acheni hadithi za Sungura sizitaki mbichi hizi,
Chadema huyu Ndugai kama akija kwenu msimkatae mkaribisheni na mumpe uongozi wa ngazi ya juu ili awe mgombea Uraisi ,msimuachie kabisa.jamaa ni mpiganaji kamanda asiekubali kushindwa,tumeona ni kwa jinsi gani akipambana pale bungeni,hakuwahi kushindwa kwenye maamuzi yeyote aliyoyataka yawe.
Kaka vipi Ndugai akija chadema mtampokea?
Kosa la kumpokea Lowassa halitakaa lirudiwe,na hata kama hivyo vyama vitafanya kosa la kupokea hizo taka ngumu toka CCM tutawapotezea. Kama Ndugai mwenyewe nashindwa kusimamia hoja yake ndio itakuwa asimamie upinzani. Asubiri kuna chama cha upinzani kinaanzishwa na CCM kwa uratibu wa Tiss akagombee kupitia huko.
Hata kama akienda huko, atakuwa raia wa kawaida kwa sababu ni Mtanzania, lakini kwenye mzani, jiwe lake linahitaji nyongeza sana.Si mlikuwa mnasema wameanzisha Umoja Party au wamefuta wazo?
Wadau vipi ?
Ndugai akitangaza kujiunga na Chama kikuu cha upinzani mtampa tiketi ya kugombea Uraisi hapo kama ikifika 2025,katika uchaguzi Mkuu?
Bora ajiunge na Chadema, kwani kwa 2025 watakuwa hawana mgombea mazubuti atakae weza kupambana na Samia kama CCM watampitisha Samia kugombea Uraisi.
Yaani mechi kuu ni Ndugai(CHADEMA) Vs Samia (CCM) ,sipati picha vizuri. halafu unakuta Uchaguzi kwa mara ya kwanza hakuna wizi wa kura.
Chama kikuu cha upinzani ni ACT atakubalika hukoMkuu umeanza mwaka vibaya, Ndugai hawezi kupokelewa CDM. Hata Dovutwa hamwitaji....
Mzee Rip Samwel Sitta alikuwa kidume haswa. Hakupenda ujinga akiwa kwenye Podium hapo na aliitendea haki vilivyoKwa upinzani upi, huu huu waliotumia kila namna kuumaliza?
Hicho chama kitakachompokea nacho kinatakiwa kiangaziwe upya.
Huyu jamaa hana msimamo. Na hii imezidi kumpaisha Mzee wa Viwango (Six) kuonekana aliimudu ipasavyo kazi yake.
Labda TISS ya ukoo wakoKosa la kumpokea Lowassa halitakaa lirudiwe,na hata kama hivyo vyama vitafanya kosa la kupokea hizo taka ngumu toka CCM tutawapotezea. Kama Ndugai mwenyewe nashindwa kusimamia hoja yake ndio itakuwa asimamie upinzani. Asubiri kuna chama cha upinzani kinaanzishwa na CCM kwa uratibu wa Tiss akagombee kupitia huko.
Kwa akili za Ndugai alivyo narrow minded bila msimamo hawezi kwenda Chadema hata sekunde maana kwa utaratibu wa CCM vyote ulivyojitwalia ukiwa CCM wanakupora 😅😅😅 ili ukaanze upya maisha ukiwa mpinzani!Hata kama akienda huko, atakuwa raia wa kawaida kwa sababu ni Mtanzania, lakini kwenye mzani, jiwe lake linahitaji nyongeza sana.
Nani apokee like kihuni!!Wadau vipi ?
Ndugai akitangaza kujiunga na Chama kikuu cha upinzani mtampa tiketi ya kugombea Uraisi hapo kama ikifika 2025,katika uchaguzi Mkuu?
Bora ajiunge na Chadema, kwani kwa 2025 watakuwa hawana mgombea mazubuti atakae weza kupambana na Samia kama CCM watampitisha Samia kugombea Uraisi.
Yaani mechi kuu ni Ndugai(CHADEMA) Vs Samia (CCM) ,sipati picha vizuri. halafu unakuta Uchaguzi kwa mara ya kwanza hakuna wizi wa kura.
Labda TISS ya ukoo wako
Utamkataa wewe kama nani.
Mwenyekiti akiamua wehuna chakufanya zaidi ya kupiga makele.
Hata ukiondoka chama hakitajua kama kulikuwa na mtu kama wewe.
Chama kinaangalia asset, Ndugai akipokelewa chadema anakuwa asset zaidiyako mara millins.
Ikiwezekana aache kabisa siasa maana ana roho mbaya, kiburi na hana utu kabisa ushahidi namna alivyomchapa mgombea mwenzie fimbo na alivyosema chezea chochote usichezee ndugai.Wadau vipi ?
Ndugai akitangaza kujiunga na Chama kikuu cha upinzani mtampa tiketi ya kugombea Uraisi hapo kama ikifika 2025,katika uchaguzi Mkuu?
Bora ajiunge na Chadema, kwani kwa 2025 watakuwa hawana mgombea mazubuti atakae weza kupambana na Samia kama CCM watampitisha Samia kugombea Uraisi.
Yaani mechi kuu ni Ndugai(CHADEMA) Vs Samia (CCM) ,sipati picha vizuri. halafu unakuta Uchaguzi kwa mara ya kwanza hakuna wizi wa kura.