samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,169
Ongezea na Gwajima.
Watakwambia taasisi za kidini zakina Pengo Askofu, Mwamakula, Mwingira, Gwaji boy, Mzee wa Upako, Alhadi Mussa, Sheikh Simba, nk...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na Gwajima.
Kwanini wasiruhusu na wadau, ambao ni vyama vya siasa nao kupeleka mapendekezo ya majina yao??Hebu tuambie wewe sasa kwa maoni yako, hao wajumbe wapatikane kwa utaratibu gani?
Kwanini wasiruhusu na wadau, ambao ni vyama vya siasa nao kupeleka mapendekezo ya majina yao??
angalau hapa naweza kukuunga mkono, wewe ni mmoja wenzio wengi ni wafukuza upepo na wasaka maslahi....ndio hukukubaliana na suala la Lowassa lakini akawa ndio mgombea Urais maana wenye maslahi ndio wenye chama...
vyama viko vingi sana na kila chama kitasema kina haki yake kinahitaji muwakilishi wake..
Hao ambao unaoamini ndio wenye chama walifanikiwa kumleta Lowassa kipindi kile, kwa taarifa yako hawatakaa warudie kosa lile na waachiwe tena. Nadhani uliona walichotaka kwa Nyalandu uchaguzi uliopita,na walichoamua wanachama na hawakuthubutu kugeuza matokeo. Na ndio imetoka hiyo. Siku nyingine wakiokota hizo taka ngumu toka CCM watajua hawajui.
Vyama viko 19, vilivyo serious na siasa havifiki vitano. Na vyenye wanachama zaidi ya milioni hawavivuki viwili. Vingi ni vya kwenye flash disk.
hahahaha, Nyalandu alishinda na walio wengi walitaka yeye ndio awe mgombea maana alikuja na mkwanja...busara tu za watu fulani na huruma kwa Lissu..... Kwa taarifa hizo huone kama kuna mashimo hapo..
hahahaha, navyo ni vyama vitadai haki ya uwakilishi...hata CDM ilianza kama wao....NCCR ikiwa na nguvu CDM ilikuwa kama TPP tu...
wakati CUF inanguvu CDM ilikuwa utopolo tu..
Ukiangalia trends za NCCR, TLP na CUF then CDM utagundua uelekeo ni uleule tu ni suala la muda tu....
Kura zilihesabiwa hadharani kwenye mkutano mkuu wa kumchagua mgombea kwa mara ya kwanza. Labda alishinda off camera kwa kumwaga hela kwa viongozi ili apate huruma ya kugombea. Hata kwenye kampeni zake za kutaka wadhamini ili agombee hazikuwa na watu. Kazunguk na basi lake nchi nzima watu wanamchora maana walishaumwa na nyoka. Hatimaye Mungu hamfichi mnafiki, leo Nyalandu yuko wapi?
kaa vizuri na inner circle ya chama chako.....hata CDM huwa kuna dip state..watafute utapata taarifa...hela hiyo hiyo Nyalandu ilitaka kuleta shida....hekima tu na busara ya mwamba ilisaidia kidogo..
TLS inateua wajumbe 2Hebu tuambie wewe sasa kwa maoni yako, hao wajumbe wapatikane kwa utaratibu gani?
Hawa wana kosa/tatizo gani ?nahitaji kukusoma kwa utulivu kidogo....
hiko kidogo nilichosoma naomba nikupe tahadhari kidogo, hizo asasi unazosema ndio zimetupa mtu kama Pole pole na Prop Kabudi...na wengine wanaofanana..