ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Hapa kwetu ni mahala palipojaa watu wanaoishi na kujivunia UNAFIKI.Inashangaza sana nasikia hata jaji mkuu anakinga ya kutoshtakiwa.kuna nini?
Ninauona mkono wa Mungu ukifanya kazi KUUANIKA uongozi wote uliyopo kwani HAUFAI wala haustahili kuendelea kuwepo....“kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;” Rum 3:23 AMEN