M Mbozib JF-Expert Member Apr 9, 2012 408 59 Jul 13, 2012 #22 Ndugai mwanzo alikuwa na mwelekeo mzuri lakini siku hizi amekuwa na chuki binafsi kwa CDM .
Mnyakatari JF-Expert Member Oct 25, 2010 2,027 1,791 Jul 13, 2012 Thread starter #23 Mbozib said: Ndugai mwanzo alikuwa na mwelekeo mzuri lakini siku hizi amekuwa na chuki binafsi kwa CDM . Click to expand... Tena hasa baada ya Mnyika kukataa kufuta ile kauli ya udhaifu wa kiti cha jumba jeupe.Utafikiri aliambiwa yeye...!
Mbozib said: Ndugai mwanzo alikuwa na mwelekeo mzuri lakini siku hizi amekuwa na chuki binafsi kwa CDM . Click to expand... Tena hasa baada ya Mnyika kukataa kufuta ile kauli ya udhaifu wa kiti cha jumba jeupe.Utafikiri aliambiwa yeye...!