chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,680
- 22,685
Spika wa Bunge na mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kusini na Kaskazini Unguja, Job Ndugai amekutana na kufanya mazungumzo na Wajumbe wa Kamati Kuu Zanzibar, Wajumbe wa Halmashauri Kuu Taifa, Wenyeviti wa Mikoa,Wilaya na Maafisa wa CCM Ofisi kuu Zanzibar alipowasili Zanzibar leo.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent from my iPhone using Tapatalk