JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,298
- 9,524
Hivi inakuwaje Speaker Ndugai unakubari vipi kukaa kusikiliza na kutumia pesa za watanzania na mda wa watanzania kujadili kauli za gwajima kanisani kwake?
Huku wananchi wanalia Maisha magumu, tozo kila kona, kwa nini usijikitee huko?.
Wewe unajiona je yani?. Hutaki hata kusimama na wana nchi hata kwa sekunde? Wasaidieni wananchi na changamoto za Maisha sio porojo.
Gwajima anawattu wengi sana Nyuma yake kuhusu chanjo, na watu hawachanji hata nyie huko mnaona.. Usipokuwa makini utakuwa speaker wa kuzalauliwa Maisha yote.
Huku wananchi wanalia Maisha magumu, tozo kila kona, kwa nini usijikitee huko?.
Wewe unajiona je yani?. Hutaki hata kusimama na wana nchi hata kwa sekunde? Wasaidieni wananchi na changamoto za Maisha sio porojo.
Gwajima anawattu wengi sana Nyuma yake kuhusu chanjo, na watu hawachanji hata nyie huko mnaona.. Usipokuwa makini utakuwa speaker wa kuzalauliwa Maisha yote.