fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 10,938
- 19,591
Ndugai nakusikitikia sana, mbona kila jambo unaloongea linakua haliko sahihi katika masikio ya wengi? Hii yaonesha kua huwaga unajikurupukia na kuropoka bila kufikiri. Mara ya kwanza ishu ya posho ukajichanganya kwa kuongea tofauti na boss wako makinda; watu wa ofisi moja mnatofautiana kuonesha kua hamna ushirikiano wala good flow of informaion katika idara yenu. Na sasa wakurupuka na kumsema mtu badala ya kujibu hoja alizozitoa. Au umetumwa nini na hao waliokuweka pale kulinda maslahi yao. Kuwa makini otherwise hiyo 2015 waweza usirudi tena bungeni kama wapiga kura wako wakiendelea kukusikia ukiongea upuuzi kama huu.