Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Huyu Ndugai ni mpuuzi kweli kwahiyo hao wabunge wanaishi kwenye kisiwa ambacho wastaafu na wananchi wengine hawaruhusiwi kuhoji au kutoa maoni kuhusu mstakabali wa nchi yao, posho ni mzigo kwa taifa hata kama Sumaye ni mchafu lakini ukweli ndo huo watanzania wengi wanasikitishwa na kulipana posho.