Ndungai was no show bunge lilipota. Kumekuwa na mijadala mizito kama ule wa katiba mpya na hatujasikia makelele yake ila hili la posho naona limemtoa pangoni. Now we know what motivates this man! Na kama Ndungai angefuatilia vizuri kauli ya Sumaye atagunduwa kuwa yeye (Sumaye) akiwa Waziri mkuu alikuwa anazongozwa na wabunge (wa ccm?) aridhie nyongeza za posho. Hii ni tabia ya siku nyingi ila sasa elimu ya uraia imeenea na watu wanahoji tabia za wabunge. Huu ni mwanzo tu, Ndungai ajiandae, life will never be the same kwa wabunge... tutahoji everything!