GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,793
Wale walinzi wa viongozi na wanaolinda maeneo maalumu kama ikulu, airports,bandari nk ndio wana ajira ya moja kwa moja kutoka TISS kitengo cha PSU(presidential security unit) hawa hujulikana na wengi huonekana kama kwne misafara nk....pia Kuna agents(mawakala) Hawa ajira zao hazitoki moja kwa moja TISS kazi yao kubwa nikukusanya taarifa kutoka maeneo yao husika wengine madaktari wapo hospitali awa ajira yao na mshahara hulipwa na wizara ya Afya n.k.....
Asante sana Mkuu kwa huu Ufafanuzi wako na hii Elimu yako Kubwa juu ya hawa Wana Usalama wa Taifa, Utendaji Wao na Idara yao nzima Nyeti.