General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Wakuu habari.
Kama tunavyojuaa vijana hawa wa CCM January Makamba na Mwigulu Nchemba ambao walikuwa wanausaka urais kwa spidi ya mwanga sasa zaanza kufutikaa.Inasemekana kwamba vigogo hawa ni moja ya watu ambao Magufuli hataki kuwasikia katika serikali yake na hata kwenye chama chake kwenye nafasi mbalimbali.
Vyanzo vya kutoaminika kwa Rais Magufuli ni kambi zao ambazo watazitengeneza kwa ajili ya urais 2025.Pia kundi lao la utiifu toka msoga ambapo magufuli hataki kusikia katika uongozi wake.
Inajulikana wazi Magufuli alimshutumu Mwigulu tangu kipindi cha kampeni kuwa anamhujumu kwa kufanya kampeni za matusi.
Nawasilisha.
Kama tunavyojuaa vijana hawa wa CCM January Makamba na Mwigulu Nchemba ambao walikuwa wanausaka urais kwa spidi ya mwanga sasa zaanza kufutikaa.Inasemekana kwamba vigogo hawa ni moja ya watu ambao Magufuli hataki kuwasikia katika serikali yake na hata kwenye chama chake kwenye nafasi mbalimbali.
Vyanzo vya kutoaminika kwa Rais Magufuli ni kambi zao ambazo watazitengeneza kwa ajili ya urais 2025.Pia kundi lao la utiifu toka msoga ambapo magufuli hataki kusikia katika uongozi wake.
Inajulikana wazi Magufuli alimshutumu Mwigulu tangu kipindi cha kampeni kuwa anamhujumu kwa kufanya kampeni za matusi.
Nawasilisha.