immasakha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 489
- 281
Nilikua na ndoto kubwa ya kua IT Technician,lkn ndoto hy imekufa pale nilipomaliza diploma na kupata ufaulu wa G.P.A ya 2.9 ambapo kwa mujibu wa T.C.U ninaambiwa nimekosa kigezo cha kuendelea na degree
Nikaangalia upande mwengine wa foundation course ili nipate kujiendeleza nako pia zimesimamishwa kutolewa
Nikaangalia upande mwengine wa foundation course ili nipate kujiendeleza nako pia zimesimamishwa kutolewa