Ndoto za BRT na ahadi za uongo za viongozi wa Kenya.

Ingelikuwa ni kw yule babu..kituo kingefungwa halafu aliyeandika hyo habari kukamtwa na kusekwa ndani..kesi, eti uchochezi anataka kuleta vurugu"tanzania ni nchi ya amani"

Wakati awamu ya pili ya ujenzi wa BRT toka Mbagala hadi Gerezani mkiendelea kwa kasi ya 4G, majirani zetu wanaendelea kusikiliza story za Macharia zisizokuwa na mwisho.
 
Citizen TV ni favorite channel ya Tz.

Kama Kuna kitu Tz wametushinda nacho peke yake ni BRT lakini ikumbukwe ipo Dar peke yake na sio Dar yote, otherwise the rest of Tanzanians wanarundikwa kwenye daladala Kama kuku wakipelekwa sokoni.

DNunuJZU8AAvTz7.jpg
images (4).jpeg
IMG_1244.JPG
dala-dala-in-dar.jpg
zanzibar.jpg
images (2).jpeg
images (3).jpeg
DNunuJZU8AAvTz7.jpg
 
Ingelikuwa ni kw yule babu..kituo kingefungwa halafu aliyeandika hyo habari kukamtwa na kusekwa ndani..kesi, eti uchochezi anataka kuleta vurugu"tanzania ni nchi ya amani"
Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?
 
Kwahyo wataka tumteke nn...
Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?
 
Citizen TV ni favorite channel ya Tz.
Kama Kuna kitu Tz wametushinda nacho peke yake ni BRT lakini ikumbukwe ipo Dar peke yake na sio Dar yote, otherwise the rest of Tanzanians wanarundikwa kwenye daladala Kama kuku wakipelekwa sokoni.
View attachment 1178804View attachment 1178805View attachment 1178806View attachment 1178807View attachment 1178808View attachment 1178809View attachment 1178810View attachment 1178804

Imebaki kuwa historia...nyie pigeni porojo si tunatembea..
 
Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?
Kibaka Highway wapi?
SGR Wapi?
Kinyesi 1,2,3 Wapi?
Strugglers gorge wapi?
Guangzhou, Mumbai Wapi?
Bagamoyo Port wapi?
 
Back
Top Bottom