joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wakati awamu ya pili ya ujenzi wa BRT toka Mbagala hadi Gerezani mkiendelea kwa kasi ya 4G, majirani zetu wanaendelea kusikiliza story za Macharia zisizokuwa na mwisho.
Endeleeni kujiambia hivyo.
Wakati awamu ya pili ya ujenzi wa BRT toka Mbagala hadi Gerezani mkiendelea kwa kasi ya 4G, majirani zetu wanaendelea kusikiliza story za Macharia zisizokuwa na mwisho.
Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?Ingelikuwa ni kw yule babu..kituo kingefungwa halafu aliyeandika hyo habari kukamtwa na kusekwa ndani..kesi, eti uchochezi anataka kuleta vurugu"tanzania ni nchi ya amani"
Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?
Ina bidi waniandae sio kukurupuka, waje tuwape shuleWalijua BRT ni Chang'aa tu simple
Citizen TV ni favorite channel ya Tz.
Kama Kuna kitu Tz wametushinda nacho peke yake ni BRT lakini ikumbukwe ipo Dar peke yake na sio Dar yote, otherwise the rest of Tanzanians wanarundikwa kwenye daladala Kama kuku wakipelekwa sokoni.
View attachment 1178804View attachment 1178805View attachment 1178806View attachment 1178807View attachment 1178808View attachment 1178809View attachment 1178810View attachment 1178804
Daladala zimekwisha Dar?Imebaki kuwa historia...nyie pigeni porojo si tunatembea..
Kibaka Highway wapi?Tafadhali tujikite katika mada husika, Macharia amekua akitoa ahadi za uongo na taarifa za kuwandanganya wakenya katika kila mradi, kuanzia SGR, BRT, Mombasa- Nairobi high way, lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yake, au tatizo ni kabila lake haliguswi?