Kuanzia nikiwa sekondari nimeweka moyoni kwangu kuwa ipo siku nitajiunga na usalama wa taifa.sasa ni karibia miaka 15 imepita nikishikiria wazo langu. Ipo siku najua ndoto yangu itatimia.
nawashauri vijana wenzangu unapokuwa wazo lako utakiwa ukate tamaa. Shikilieni mawazo wenu. Msiwe wepesi wa kukata tamaa.
nawashauri vijana wenzangu unapokuwa wazo lako utakiwa ukate tamaa. Shikilieni mawazo wenu. Msiwe wepesi wa kukata tamaa.