Ndoto yangu ya kuwa mwanausalama wa taifa iko pale pale.

Eberhard

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
1,120
757
Kuanzia nikiwa sekondari nimeweka moyoni kwangu kuwa ipo siku nitajiunga na usalama wa taifa.sasa ni karibia miaka 15 imepita nikishikiria wazo langu. Ipo siku najua ndoto yangu itatimia.

nawashauri vijana wenzangu unapokuwa wazo lako utakiwa ukate tamaa. Shikilieni mawazo wenu. Msiwe wepesi wa kukata tamaa.
 
Sio peke yako hata mm nina imani labda iko siku. Ingawa ni miaka mingi imepita, nilikuwa na wazo hili zaidi ya miaka 20! Maana siku hizi uzalendo haupo ila kilichobaki ni yaradi nafsi. Ningepata hii nafasi ningeitendea haki.
 
Sio peke yako hata mm nina imani labda iko siku. Ingawa ni miaka mingi imepita, nilikuwa na wazo hili zaidi ya miaka 20! Maana siku hizi uzalendo haupo ila kilichobaki ni yaradi nafsi. Ningepata hii nafasi ningeitendea haki.
Usijali kaka. Tuko pamoja. Maisha si kukata tamaa.ipo siku Mungu atafungua njia.
 
Kila mtu ni usalama wa taifa,ndio maana kova anasisitiza ulinzi shirikishi,mpinga anasisitiza UBU(usalama Barabarani),mwema anasisitiza tii sheria bila shuruti,wote hao wanamtaka mwananchi awe usalama wa taifa! Au wewe unataka uvae kaunda suti na wire kwenye sikio kama muongoza vipindi kwenye TV?
 
Kuanzia nikiwa sekondari nimeweka moyoni kwangu kuwa ipo siku nitajiunga na usalama wa taifa.sasa ni karibia miaka 15 imepita nikishikiria wazo langu. Ipo siku najua ndoto yangu itatimia.

nawashauri vijana wenzangu unapokuwa wazo lako utakiwa ukate tamaa. Shikilieni mawazo wenu. Msiwe wepesi wa kukata tamaa.

you are speaking because you are out of box,keep it up but you must know that when you are in these security agencies you can't enjoy your "peace of mind" forever
 
you are speaking because you are out of box,keep it up but you must know that when you are in these security agencies you can't enjoy your "peace of mind" forever

Binafsi na hulka ya kuhoji na sipendi shuruti,hivyo kazi katika chombo chochote cha dola na kuajiriwa,si machaguo yangu,nashukuru nimemaliza chuo nimejiajiri na nimeajiri na watanzania wengine.
 
Kuanzia nikiwa sekondari nimeweka moyoni kwangu kuwa ipo siku nitajiunga na usalama wa taifa.sasa ni karibia miaka 15 imepita nikishikiria wazo langu. Ipo siku najua ndoto yangu itatimia.

nawashauri vijana wenzangu unapokuwa wazo lako utakiwa ukate tamaa. Shikilieni mawazo wenu. Msiwe wepesi wa kukata tamaa.

sipat picha ulivyokuwa shule nadhan wanafunzi walikukoma kwa unoko,hongera sana kwa kuamua kuwa na nia ya kuwa mng'oa kucha na meno bila ganzi
 
Binafsi na hulka ya kuhoji na sipendi shuruti,hivyo kazi katika chombo chochote cha dola na kuajiriwa,si machaguo yangu,nashukuru nimemaliza chuo nimejiajiri na nimeajiri na watanzania wengine.

Hujaulizwa Kama Sasa Hivi Unafanya Nini na Wewe ni Nani na Umeajiri akina Nani! Sifa na Ufahari wa Kijinga. Kubwa Zima Hovyo! Kama Kapuku na Ngumbaru Wewe Unajisifia Umeajiri Watu Je Akina Bakhresa, Mengi na Wengineo Wasemeje? Ndiyo Tatizo La Mtanzania Zikimtembelea tu Kidogo!! Umeniudhi na Nahisi Wewe Utakuwa ni Mtani Wangu Mkubwa MHAYA.
 
you are speaking because you are out of box,keep it up but you must know that when you are in these security agencies you can't enjoy your "peace of mind" forever

anataka kuingia ndani ya nyumba kabla ya kujua huko ndani kuna nini.
 
Ndugu ndiyo Usalama wa Taifa? Hebu Heshimuni basi hiyo Taasisi Kwani Furaha Yako Ya Amani na Uhakika wa Ulinzi wa Nchi Yako hii Unategemea Mno Uwajibikaji na Ufanisi Wao.

Hawa nao walishaacha njia longi. Wangewajibika ipasavyo tusingefika hapa tulipo. Kwa hiyo ukisikia watu wanasema wache waseme.
 
nauliza tu
Nini lengo lako la kuwa usalama wa Taifa? wale waliopo hawajui kazi? unataka sifa mtaani kuwa wewe ni usalama wa Taifa? mshahara mnono? au kutumia nembo na kazi ya usalama wa Taifa ili uogopwe mtaani?
nina masuala mengi ambayo sipati picha ya majibu
 
Kwanza hufai kuwa usalama wa taifa kwa hii thread yako nilivyosoma
katika jeshi lolote lile nidhamu ndio ngao mengine ni kama vitu vya kawaida kwa nini uje jf kuongea na usipopata hii kazi utaanza kulalamika tu na inavyoonekana unapenda sifa sana ndio maana unakuja kuosha jina
USHAURI: usiwaze kazi moja ukipata kazi yoyote ile fanya na usitegemee kuajiliwa kama unamtaji jiajiri kijana na usiseme kuwa huko kuna mshahara mnono mno hamna ni kawaida tu kama sehemu zingine japo nahisi tu mbona sisi tumejiajiri tu na maisha yanasonga
 
Back
Top Bottom