Ndoto ya tenga imekuwa kweli!

Shedafa

JF-Expert Member
May 21, 2008
802
173
Ndoto ya Tenga kuitangaza TZ kwa njia ya mpira hatimaye imelipa, leo kwa mara ya kwanza BBC WORLD kipindi cha michezo kimetangaza habari za Tz kucheza na Ivory coast. Ingawa focus yao ilikuwa kwa Drogba lakini ndio wametutangaza hivyo, na kuweka high lights chache za mpira huo likiwepo goli tulilofungwa. Kwangu mimi imelipa, watu wamesikia habari zetu na kuona uwanja wetu.
 
Ndoto ya Tenga kuitangaza TZ kwa njia ya mpira hatimaye imelipa, leo kwa mara ya kwanza BBC WORLD kipindi cha michezo kimetangaza habari za Tz kucheza na Ivory coast. Ingawa focus yao ilikuwa kwa Drogba lakini ndio wametutangaza hivyo, na kuweka high lights chache za mpira huo likiwepo goli tulilofungwa. Kwangu mimi imelipa, watu wamesikia habari zetu na kuona uwanja wetu.

Hii ni kazi ya Tenga au Maximo?
 
Ndoto ya Tenga kuitangaza TZ kwa njia ya mpira hatimaye imelipa, leo kwa mara ya kwanza BBC WORLD kipindi cha michezo kimetangaza habari za Tz
Kwangu mimi imelipa, watu wamesikia habari zetu na kuona uwanja wetu.

Mkuu Shedafa,
Kutangazwa huko, watu wamesikia habari zetu NZURI au udhaifu?
 
Dunia imetuona, kufungwa kwenye mechi za mpira wa miguu ni jambo la kawida na wakati mwingine ni ngekewa ya timu iliyoshinda. tukiangalia mchezo wa J3 wageni hawakucheza sana zaidi ya wenyeji ila bahati ilikuwa yao. Viva Maxmo, tenga ni mratibu tu
 
hamna mtu mwenye kazi yake hapa,TUSIDANGANYANE!...kikubwa na muhimu ni kwamba muda umefika wa sisi kufikia kwenye hiyo levo ndogo ya uchezaji
 
Hii ni kazi ya Tenga au Maximo?
Nimesema Tenga kwa sababu ndiye aliyewafuata Ivory Coast wakati wanacheza na Malawi kama niko sawa, aliwafuata kuwaomba waje wafanye mazoezi hapa kabla ya kwenda Angola. Kwa hiyo ujio wao si juhudi za Maximo, ingawa Maximo naye anastahili kupongezwa kwa sababu wasingekubali kuja kama kusingekuwa na sifa nzuri hata kama kiwanja ni kuzuri namna gani.
 
Tunastahili kuwapongeza kina tenga...msijifanye mmesahau enzi za kina al hajji....

walikua kila siku ni migogoro na ndo mana walishindwa kuconcetrate na maendeleo

ya soka. sasa hivi kucheza na timu zenye majina makubwa ni kawaida bongo.

big up TENGA
 
jamani tenga ametutangaza kwa lipi? nchi inatia aibu sana zambia,gabon,benin,togo, hizi ni nchi changa sana kwetu kiuchumi,leo zimeingia africa cup 2010 angola sasa leo utaweza kusema nini jua ya tenga na jopo lake la TFF.....mimi nataka wote wanausika na michezo hapa tz waondolewe madarakani na waingia watu wenye uwezo na sera za kutupeleka kwenye mashindano makubwa.kuhusu kocha wa taifa ni bora tuwe na kocha mzalendo ambaye anajua nchi yetu,atajua wapi anaweza kupata wachezaji.
 
jamani tenga ametutangaza kwa lipi? nchi inatia aibu sana zambia,gabon,benin,togo, hizi ni nchi changa sana kwetu kiuchumi,leo zimeingia africa cup 2010 angola sasa leo utaweza kusema nini jua ya tenga na jopo lake la TFF.....mimi nataka wote wanausika na michezo hapa tz waondolewe madarakani na waingia watu wenye uwezo na sera za kutupeleka kwenye mashindano makubwa.kuhusu kocha wa taifa ni bora tuwe na kocha mzalendo ambaye anajua nchi yetu,atajua wapi anaweza kupata wachezaji.
Makubwa, ikiwa mtazamo wa uchumi tena ni kigezo itakuwa kazi!. Kwa hiyo Marekani si ndio angekuwa bingwa wa dunia kila siku, vipi uchumi wa Brazil kulinganisha na USA, UROPA na JAPAN?. Kwani mkuu, kabla ya Maximo alikuw kocha mzungu?. Je, kuna mtu alikuwa hata na hamu ya kuzungumzia Stars?.
 
Now we need to build 3 more quality stadiums, improve our public transportation, expand our airport, get more investment in Hotels, Get rid of the traffic jams, etc and we can host the African Cup of Nations ourselves. LOL! ;)

I know.... i'm dreaming
 
Now we need to build 3 more quality stadiums, improve our public transportation, expand our airport, get more investment in Hotels, Get rid of the traffic jams, etc and we can host the African Cup of Nations ourselves. LOL! ;)

I know.... i'm dreaming
Inshallah, nawe ndoto zako ziwe kweli kama Tenga!
 
Back
Top Bottom