Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 173
Ndoto ya Tenga kuitangaza TZ kwa njia ya mpira hatimaye imelipa, leo kwa mara ya kwanza BBC WORLD kipindi cha michezo kimetangaza habari za Tz kucheza na Ivory coast. Ingawa focus yao ilikuwa kwa Drogba lakini ndio wametutangaza hivyo, na kuweka high lights chache za mpira huo likiwepo goli tulilofungwa. Kwangu mimi imelipa, watu wamesikia habari zetu na kuona uwanja wetu.