Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
Tanzania imekwama tulipo si pazuri tena nawatahadharisha mlitambue hilo watanzania wenzangu. Kinachofanyika sasa ni kama kuwaandaa watu waanze kuwa waasi ndani ya taifa lao. zinajengwa chuki dhidi ya watawala, polisi n.k. Kinachokuja muda mfupi ujao kitakuwa majuto kwa nchi yetu. Hii ndio ndoto yangu kwenu leo.
Ombi langu kwenu ni kuwa: -
Matokeo yoyote yatakayotokea kuanzia sasa kuhusu kuvurugika kwa amani ya nchi yetu, ni vyema viongozi mliopo sasa wote wa serikali, CCM na jeshi la Polisi mtambue kuwa, nyinyi ndo mtakao kuwa washitakiwa wa kwanza katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu.
Jiandaaeni kukabili mashitaka ya uhalifu dhidi ya bindamu muda si mrefu. Damu mnayoimwaga sasa lazima itawarudia tu.
Ombi langu kwenu ni kuwa: -
Matokeo yoyote yatakayotokea kuanzia sasa kuhusu kuvurugika kwa amani ya nchi yetu, ni vyema viongozi mliopo sasa wote wa serikali, CCM na jeshi la Polisi mtambue kuwa, nyinyi ndo mtakao kuwa washitakiwa wa kwanza katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu.
Jiandaaeni kukabili mashitaka ya uhalifu dhidi ya bindamu muda si mrefu. Damu mnayoimwaga sasa lazima itawarudia tu.