Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Umekuja na vina vya bongo fleva halafu umejichanganya huyo Kashinje Masanja alivyokupigia simu alivyokuambia unashambuliwa kwenye mtandanao wa Jamiiforums na wewe ukapokea mazima bila kufanya uchunguzi wako...hakuna watu waliokushambulia wakushambilie kwa lipi? Kwani wewe ni nani member mmoja labda mnajuana ndio alianzisha thread labda akakutaja...ukisema wewe unashambuliwa JF na Zitto atasemaje! wewe walikutaja tu mkuu.
Samahani mkuu wewe nani?
Samahani mkuu wewe nani?