Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,572
Maana nyingine ni kuwa
Umeunganishwa kiagano na pepo la uzinifu.
Umeunganishwa kiagano na pepo la uzinifu.
Amen, ntashukuru Sana.
Amen, ntashukuru Sana.
Unachotakiwa kujua cha kwanza ni kuwa shetani anaweza kutumia lango la ndoto kupandikiza vitu vyake.
Unachotakiwa ni kuomba toba na kunyunyuzia damu ya Yesu katika lango la ndoto ili shetani asiweze kulitumia tena,
Maana ya kwanza ni kuwa
Ukiota ndoto unazini au unafanya uasherati na ndugu yako inamaana kwamba tendo la kusali limekufa kwako,
Ulikua unasali na kujikabidhi kwa Mungu wako lakini umeanza kupata ugumu katika swala la Kusali.
Maana nyingine ni kuwa
Umeunganishwa kiagano na pepo la uzinifu.[
Note: ukizini na mama yako au baba yako maana inabadilika, au ukizini na mnyama maana inabadilika.
Basi anamuwaza shemejieMtu akiwa na jini mahaba ndoto nyevu (wet dreams) Ni kitu Cha mara kwa mara kama sio kila siku, na unakuwa huna hamu na mwenzi wako.
Hapanaumewahi ku experience kitu kama hicho ?
SawaHapana
emu tufafanulie ukizini na mama/baba maana yake ni nini mzee?? na mnyama je??
inaonyesha kuna jambo la fedheha lina kuja.
Awe makini.
ila kwenye hizi ndoto kuna upande wa pili yaani utatuzi alipewa mwambie akuambie ilivyoendelea awamu ya pili alionyeshwa nini?
Sio kila ndoto inamaana
Hakuna kitu kama hicho, tatizo akili yako umeiaminisha hivyo. Uliwazalo ndio litakalokutokeaDreams are my realities
Kibiblia, kupitia zinaa watu huunganishwa na kuwa mwili mmoja. Kuwa utupu mbele za watu ni ishara ya kuabishwa. Maana ni kwamba aibu ileile aliyopata shemeji yake inamnyemelea. Anapaswa afanya maombi ya kufunga na kuomba kwa siku tatu hivi. Avunje kila roho zote za aibu na kushushwa chini. Kama ameokoka aombe kwa kunena kwa lugha muda mrefu ili Roho wa Mungu aonaye sirini amsaidie kuomba. Kama hajaokoka pia, ni bora kuwashirikisha watumishi wa Mungu kwa msaada wa maombi.Salaam.
Kwa wale walio Dar Es Salaam, hongereni na poleni kwa mvua.
Usiku wa kuamkia leo, mume wangu kaota ndoto ambayo kwakweli imetuacha vichwa vikiuma.
Ameota alikuwa anafanya mapenzi na shemeji yake (mke wa kaka yake) walikuwa wanafanya mapenzi hadharani kwenye garden huku watu wakishuhudia.
Baada ya hapo, akaanza kukiharishia, watu wakawa wanamshangaa.
Akashtuka usingizini huku akitweta Sana.
Kwenye ulimwengu halisi, huyo Dada, mke wa kaka yake yuko jela mwaka wa nne Sasa kwa kukamatwa na madawa ya kulevya.
Naombeni hekima yenu kwenye tafsiri ya ndoto hii