UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Ni miaka 4 tangu baba yetu atutoke. Mara nyingi amekuwa akinitokea ndotoni. Alikuwa na kawaida ya kutuachia chakula au tukirudi kutoka shule anatuambia ingia ndani kwenye kabati kuna msosi mle.
Sasa, nimekuwa naota anatukusanya watoto wake anaanza kutupa maneno ya kuishi na watu vizuri n.k. Mara nyingine naota ndio anafariki na tunaenda kumzika kwa uchunguzi mkuu (na kiuhalisia ameshafariki since2016).
Jana nmeota tumechinjiwa nyama yake tukala . Nimeumia sana mpaka sasa sina furaha. Nifanyej nisimuote tena marehemu baba?
R. I. P mzee wetu, hakika ulitupenda ulitusomesha ilihali ulikuwa huna kitu. huku subiri matunda yako wote 7 uliowasomesha kwa kuuza kuni. Nilipata kazi tu ukafariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa, nimekuwa naota anatukusanya watoto wake anaanza kutupa maneno ya kuishi na watu vizuri n.k. Mara nyingine naota ndio anafariki na tunaenda kumzika kwa uchunguzi mkuu (na kiuhalisia ameshafariki since2016).
Jana nmeota tumechinjiwa nyama yake tukala . Nimeumia sana mpaka sasa sina furaha. Nifanyej nisimuote tena marehemu baba?
R. I. P mzee wetu, hakika ulitupenda ulitusomesha ilihali ulikuwa huna kitu. huku subiri matunda yako wote 7 uliowasomesha kwa kuuza kuni. Nilipata kazi tu ukafariki.
Sent using Jamii Forums mobile app