zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Jamani kila nikilala usiku naota nimeoa mke wa pili,Sijui My arabela atakubali....
Jamani kila nikilala usiku naota nimeoa mke wa pili,Sijui My arabela atakubali....
Acha tamaa tulia ili usimbemende kijacho. BTW kuna udongo wa kigoma na ndimu nimemtumishia my wife wako ashapata?.
Yaani unaota wakati fununu zilizo chini ya zulia zinasoma huyo wa pili unae kitambo! Hapa wapima maji ya bahari kwa kutumia kidole.
hiyo ndoto umeota au umeoteshwa?
shimo likitema bana,taaaaaabu kwelo kweli,ngaiye kidogo nipunguze matatizi.
Hilo ndo tatizo la kikomo mlichowekewa cha wake 4.
mmmmmhhhh????Jalala au
Jamani kila nikilala usiku naota nimeoa mke wa pili,Sijui My arabela atakubali....
mh leo usirudi home nenda hukohuko kwa unaemuota
mh leo usirudi home nenda hukohuko kwa unaemuota
MENTION>>4821406 Arabela MENTION mwache aende alafu wewe hamia huku hajui faida yakohuyo
Jamani kila nikilala usiku naota nimeoa mke wa pili,Sijui My arabela atakubali....