Ndoto ya kufa na kujizika mwenyewe

flulanga

JF-Expert Member
Jul 1, 2016
4,861
6,342
Wakuu habari..... Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nimekufa nikajizika mwenyewe juu ya kaburi la mtu mwingine. Nikajiandaa mwenyewe hapo kaburini kwa kujilaza chali....... Ila jamaa yangu mmoja akaja kunitengeneza na kunigeuza na kunilaza kifudifudi. Ila kaburi lilikuwa na kina kifupi kwahiyo udongo ukuweza kunifunika mwilini so nilikuwa kama nimejilaza juujuu tu....... Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu nilijizika juu ya kaburi la mtu mwingine.

Nilipo maliza kujihifadhi niliondoka na kuuacha mwili wangu pale umelala yaani ni kama vile nilikuwa na miili miwili...... Mwili mmoja niliuacha pale kaburini na mwingine ndio nilikuwa nao na kuondoka nao.

Wakuu hii ndoto ni mara ya pili naiota ndani ya mwezi huu mmoja. Kama kuna mjuvi wa mambo haya naomba uelewa TAFADHALI.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mchakato wa ndoto kibaolojia unajulikana

Mchakato wa ubongo kuchujua matukio (mawazo) yaliyotokea kwa siku, na endapo tukio umeliwaza sana basi ubongo utakuwa unajiuliza mbona hili tulikuwa ulikuwa umeliwaza sana hivyo ubongo hutaka kuamua kama linachujwa au laa.,na inakadiriwa mwanaadamu huota karibu ndoto zaidi ya 100., lakini kutokana na ufupi wake huwezi kuzikumbuka ukiamka

Hivyo tafakari , huwa unawaza sana vitu gani mchana.

Kuhusu ujuvi wa mambo tuwasubiri wakina Mshana Jr 😅
 
KUHUSU NDOTO MIMI BINAFSI NAWEZA KUSHAURI.

JITAHID usinywe maji mengi au kimiminika, au kula chakula kigumu wakati wa usiku hasa ugali mgumu.

Kisayansi ndoto iko hivi ukilala ubongo huwa unahitaji oxygen nyingi kuendelea kufanya majukumu yake kila siku kama kawaida, lakini vilevile mfumo wa usafishaji damu huwa unahitaji oxygen kwa ajili ya kuendelea kusafisha damu kama kawaida.

Sasa in case umekula chakula kigumu, digestion ikiwa inafanyika maana yake itahitajika damu nyingi iende tumboni kurahisisha umeng'enyaji wa chakula, kumbuka unakuwa umelala/umesinzia na kiwango cha upatikanaji wa hewa(oxygen) unapungua. Hivyo ubongo unatuma impulse na kutengeneza scene ambayo itakulazimu ushituke ili uweze kuamka kusaidia ongezeko la uingizwaji wa hewa katika lungs na kuboresha uchujaji wa damu ili iingie kwenye mzunguko.

Ukila chakula kigumu ndiyo huwa kinatoke, au ukilala kwenye eneo ambalo halina hewa ya kutosha, utaota ndoto za ajabu mara unakabwa, mara hivi nmara vile. nk...

Spiritualy/Kiroho inawezakuwa ni manifestation/udhihirisho wa jambo fulani linaloendelea kwenye eternally life yako au kwa lugha rahisi kuna mgogoro unaendelea kwenye ulimwengu wako wa roho. (Ninaamini kila mtu ana ulimwengu wake wa roho).

Psychologically: ndoto aina maana either umewaza sana kitu fulani kwa muda mrefu, au huwa unakiwaza mara kwa mara, au huwa unafanya imagination kuhusu jambo ama tukio fulani. Akili inatunza baadae Ukipumzika/kusinzia inaanza sort files na kuziweka sawa sawa sasa inakutana na hiyo raw files inakuwa inafanya kurearrange.

IMANI ZA KISHIRIKINA, hapo zipo vilevile ila binafsi huwa naziweka kwenye kundi la spiritually.

I stand to be corrected.
Machepele Tanzania


Mshana Jr njoo huku usaidie mawazo yako.
 
Wakuu habari..... Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nimekufa nikajizika mwenyewe juu ya kaburi la mtu mwingine. Nikajiandaa mwenyewe hapo kaburini kwa kujilaza chali....... Ila jamaa yangu mmoja akaja kunitengeneza na kunigeuza na kunilaza kifudifudi. Ila kaburi lilikuwa na kina kifupi kwahiyo udongo ukuweza kunifunika mwilini so nilikuwa kama nimejilaza juujuu tu....... Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu nilijizika juu ya kaburi la mtu mwingine.

Nilipo maliza kujihifadhi niliondoka na kuuacha mwili wangu pale umelala yaani ni kama vile nilikuwa na miili miwili...... Mwili mmoja niliuacha pale kaburini na mwingine ndio nilikuwa nao na kuondoka nao.

Wakuu hii ndoto ni mara ya pili naiota ndani ya mwezi huu mmoja. Kama kuna mjuvi wa mambo haya naomba uelewa TAFADHALI.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Watakaokujibu ningeomba wanisaidie na hili:

Je, ni bora kuwaeleza watu ulichokiota au kutowaeleza?
 
Kama uligeuzwa kifudi fudi na wewe ni mwanaume basi angalia ukikuta manyoya ujue .....


Natania tu aisee.
 
Wakuu habari..... Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nimekufa nikajizika mwenyewe juu ya kaburi la mtu mwingine. Nikajiandaa mwenyewe hapo kaburini kwa kujilaza chali....... Ila jamaa yangu mmoja akaja kunitengeneza na kunigeuza na kunilaza kifudifudi. Ila kaburi lilikuwa na kina kifupi kwahiyo udongo ukuweza kunifunika mwilini so nilikuwa kama nimejilaza juujuu tu....... Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu nilijizika juu ya kaburi la mtu mwingine.

Nilipo maliza kujihifadhi niliondoka na kuuacha mwili wangu pale umelala yaani ni kama vile nilikuwa na miili miwili...... Mwili mmoja niliuacha pale kaburini na mwingine ndio nilikuwa nao na kuondoka nao.

Wakuu hii ndoto ni mara ya pili naiota ndani ya mwezi huu mmoja. Kama kuna mjuvi wa mambo haya naomba uelewa TAFADHALI.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hiyo hapo
Screenshot_20220513-001619.jpg
 
Mkuu tafuta msaada wa kiroho,maana naona roho upande wa kuzimu inakutafuta..au ni pm ni kueelekeze cha kuona uendeje
 
Mimi Nina uwezo wa Ku control ndoto, nikawa najijua kabisa naota na nikakataa kutoka ndotoni mpaka niamue.
Au naota ndoto ndani ya ndoto, yaani nazinduka toka ndoto ninayoiota ndotoni nikiwa kwenye ndoto nyingine bado.
 
Punguza stress na mawazo, depression inakufanya ufikirie au ulishawahi kufikiria kujiua...ndoto hizo hutokea kwa sababu unajihisi ni bora ufe ila unakiogopa kifo..siku zote tunaota yale tunayoyaona..tunayoyawaza na tunayoyatendA...YOU are an inteligent species una potential kubwa kwenye ulimwengu huu dont loose hope fight hizo challenges zako...speacking by experience..hakuna maono kwenye ndoto ni hisia na matendo tuliyoyafanya tunayoyafanya na tunayotarajia kuyafanya..hayo ndio yanatokea ndotoni..so ndoto yako hiyo tayari tushajua whats going on inside your head..
 
Punguza stress na mawazo, depression inakufanya ufikirie au ulishawahi kufikiria kujiua...ndoto hizo hutokea kwa sababu unajihisi ni bora ufe ila unakiogopa kifo..siku zote tunaota yale tunayoyaona..tunayoyawaza na tunayoyatendA...YOU are an inteligent species una potential kubwa kwenye ulimwengu huu dont loose hope fight hizo challenges zako...speacking by experience..hakuna maono kwenye ndoto ni hisia na matendo tuliyoyafanya tunayoyafanya na tunayotarajia kuyafanya..hayo ndio yanatokea ndotoni..so ndoto yako hiyo tayari tushajua whats going on inside your head..
Mkuu ujaandika cha uongo ishawahi kufikia stage kama hiyo ya kutamani kufa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Jitahidi ikupeleke mbinguni
Mimi Nina uwezo wa Ku control ndoto, nikawa najijua kabisa naota na nikakataa kutoka ndotoni mpaka niamue.
Au naota ndoto ndani ya ndoto, yaani nazinduka toka ndoto ninayoiota ndotoni nikiwa kwenye ndoto nyingine bad
 
Back
Top Bottom