Ndoto ya ajabuu thana

Mallata Jr.

JF-Expert Member
Feb 24, 2014
461
392
Ndoto hii ilianza kunitokea mwanzoni mwa mwezi wa nne lakini mpaka sasa imefikia mahali ambapo hata mimi inanipa wakati mgumu kuamini kile kinacho endelea.

Kwa mara ya kwanza niliota kuwa binti mmoja mzuri sana mwenye urefu wa wastani, na umbo ambalo kiukweli kila mwanaume lijali angemkodolea mimacho na hata kujisemesha semesha ilimradi ampate alikuwa akinitaka niwe mpenzi wake.

Cha kushangaza alinifanya nimpende zaidi kwa jinsi alivyokuwa na nywele ndefu zilizogota vilivyo mgongoni mwake.

Kwa mara ya kwanza alinijia na kuanza kuongea nami mazungumzo yaliyochukua muda mrefu na baadae tukaamua kuwa wapenzi.

Siku ya pili nikashangaa kuona kumbe haikuwa kweli na ilikuwa ni ndoto, jioni yake nikawahi kulala ili aje tena ndotoni na anikute nimeshapitiwa na usingizi mzito...

"Jamani kuna ndoto huwa ni nzuri ati"

Kweli alikuja na bila kungoja tukaanza kazi mmh alikuwa safi siku ya pili kuamka nikaona nimejichafua vya kutosha nikachukia na kusema ndoto mbaya, nikamsimulia jamaa yangu akaniambia Fuledi wewe usijali labda ni kwa kuwa ulichoka na mwili ulikuwa ukipunguza mastreessss. Nikakubalina nae.

Siku wiki chache baadae alinitokea na nakumbuka nilimvua pichu na kuiweka chini ya mto na kazi ikaanza kwa ustadi wa hali ya juu na safari hii nami nikawa mkali kweli kweli.

Asubuhi yake sikuamini baada ya kuamka naona kweli ile chupi iko chini ya mto kama nilivyoota nikiiweka chini ya mto jana yake usiku..

Nikiwa bado nimejawa na woga na kigugumizi na niko njiani kwenda kumsimulia rafiki yangu ghafla mbele yangu naona binti yuleyule ambaye nimekuwa nikimwona ndotoni na ambaye ameniachia chupi yake akiwa mbele yangu.

Nikamkimbilia na kabla sija...........................................................................................................................................

Kama wataka kujua nini kilitokea andika neno ntumie PM nami nakutumia full story
 
Ndoto hii ilianza kunitokea mwanzoni mwa mwezi wa nne lakini mpaka sasa imefikia mahali ambapo hata mimi inanipa wakati mgumu kuamini kile kinacho endelea.

Kwa mara ya kwanza niliota kuwa binti mmoja mzuri sana mwenye urefu wa wastani, na umbo ambalo kiukweli kila mwanaume lijali angemkodolea mimacho na hata kujisemesha semesha ilimradi ampate alikuwa akinitaka niwe mpenzi wake.

Cha kushangaza alinifanya nimpende zaidi kwa jinsi alivyokuwa na nywele ndefu zilizogota vilivyo mgongoni mwake.

Kwa mara ya kwanza alinijia na kuanza kuongea nami mazungumzo yaliyochukua muda mrefu na baadae tukaamua kuwa wapenzi.

Siku ya pili nikashangaa kuona kumbe haikuwa kweli na ilikuwa ni ndoto, jioni yake nikawahi kulala ili aje tena ndotoni na anikute nimeshapitiwa na usingizi mzito...

"Jamani kuna ndoto huwa ni nzuri ati"

Kweli alikuja na bila kungoja tukaanza kazi mmh alikuwa safi siku ya pili kuamka nikaona nimejichafua vya kutosha nikachukia na kusema ndoto mbaya, nikamsimulia jamaa yangu akaniambia Fuledi wewe usijali labda ni kwa kuwa ulichoka na mwili ulikuwa ukipunguza mastreessss. Nikakubalina nae.

Siku wiki chache baadae alinitokea na nakumbuka nilimvua pichu na kuiweka chini ya mto na kazi ikaanza kwa ustadi wa hali ya juu na safari hii nami nikawa mkali kweli kweli.

Asubuhi yake sikuamini baada ya kuamka naona kweli ile chupi iko chini ya mto kama nilivyoota nikiiweka chini ya mto jana yake usiku..

Nikiwa bado nimejawa na woga na kigugumizi na niko njiani kwenda kumsimulia rafiki yangu ghafla mbele yangu naona binti yuleyule ambaye nimekuwa nikimwona ndotoni na ambaye ameniachia chupi yake akiwa mbele yangu.

Nikamkimbilia na kabla sija...........................................................................................................................................

Kama wataka kujua nini kilitokea andika neno ntumie PM nami nakutumia full story

Ntumie PM
 
hata mtu akikupm itakuwa ni ndoto mana kila ki2 kwako ni ndoto.subiri mpk uache kuota ndo tutakupm
 
tumeshajua kilichoendelea so hakuna haja ya pm kwa sababu,ulipomuona kabla hujamkimbilia kumbe nayo ilikuwa ndoto.poleeeeeeeeeeee
 
Baada ya kushtuka ndotoni ndio ukakumbuka siku hiyo haukulala Nyumbani
Ulilala kwa Mchepuko!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom