Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Hiiya Ikingo inanijia tofauti (japo ilikuwa kipindi cha nyuma kidogo).Mafanikio zaidi ya wengine aidha
Kielimu
Kimaisha
Kifedha nk
Nikiwa nafukuzwa na mtu au mnyama akinikaribia najiambia akilini ngoja nipae ili asinikamate.
Mwanzoni nilikuwa nashikilia kitu ili nipae lakini baadae nikawa natandaza mikono kwa mabawa vile. Napaa hadi napojiona salama ndo nashuka. VIPI HII?
Ndoto ya aina hiyo hiyo inaweza kunitokea kisha akilini najiambia hapa naota ngoja niamke, na kweli najigeuza geuza na kuamka. KWANINI HIVI?
Zipo hali nyingi lakini sana nipate mwanga kwanza kwa hizi.
CC: Nature