Ndoto nyingine hizi jamani, hivi ushawahi kumuota member yeyote wa JF?

Aisee Smart911 kama kweli nimepata wasiwasi aseeehhh sasa nitaanza kukufuatilia naenda kumuarifu mama ajue kabisaaaa nikikata mguu pale nyumbani asijiulize

Usipoenda kumuangalia mama unataka anitoe roho... wakati mbele yako tulivyoenda kumuona akaniambia ole wangu kama unakumbuka... asikie nimekuudhi kwa lolote...
 
Back
Top Bottom