Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
Usijali, MWANZO HUWAGA MGUMU... ni kawaidahiyo ndoto yako imenishinda mm
Usijali, MWANZO HUWAGA MGUMU... ni kawaidahiyo ndoto yako imenishinda mm
Kheeee... hata wewe...!!!! Sasa ngoja tukorofishane uje uzibe pengo...
na avyopenda kucheza wakunyumba ukuje Mzigua90
Hapana shem, usinipunguzie.Na ninavyopenda mahela sasa shemeji hiyo ndoto hujakosea nitakupunguzia kidogo
Ila zikizidi nitajikuta nimezinduka keshoeagerly waiting
Shemeji me nachezaga nyimbo za dini tu za
we hupend kucheza ?
Ameen shemejiHapana shem, usinipunguzie.
Wewe ztumie kujipendesha na kuwasaidia wenye uhitaji.
Una nini na mm leoUsijali, MWANZO HUWAGA MGUMU... ni kawaida
Yaani, mi siyo leo tu... Nna jambo na wewe kila siku wallah....Una nini na mm leo
Aisee Smart911 kama kweli nimepata wasiwasi aseeehhh sasa nitaanza kukufuatilia naenda kumuarifu mama ajue kabisaaaa nikikata mguu pale nyumbani asijiulize
Disko la gospel nalo tamu likipata dj mzuri.Shemeji me nachezaga nyimbo za dini tu za
Sanaaa shemeji hilo ndio langu mm si unajua mm ni mpendwaDisko la gospel nalo tamu likipata dj mzuri.
mfyuuuu zako mambo gani na mm we mzee ndio unaniona leo kwa thread ya mahondawYaani, mi siyo leo tu... Nna jambo na wewe kila siku wallah....
Ahahahahahahahahaaaa YAAANI haya ndo majibu pyuwaaaa ya MWANAMKE disenti wallah.... Mdogo mdogo tukimaliza mwaka, UTANIOTA TUmfyuuuu zako mambo gani na mm we mzee ndio unaniona leo kwa thread ya mahondaw
Ujue hii kachasa ikikorea unajisahau kama uko dunia hiiHapana mkuu jitahidi unywe za wastani zisizidi
ebu niache mieAhahahahahahahahaaaa YAAANI haya ndo majibu pyuwaaaa ya MWANAMKE disenti wallah.... Mdogo mdogo tukimaliza mwaka, UTANIOTA TU
Shem usinichekeshaSanaaa shemeji hilo ndio langu mm si unajua mm ni mpendwa