Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Siku vyama vya upinzani vikichukua nchi watanzania wategemeemambo mazuri yafuatayo:
1. Rais akitukanwa wao hawatachukua hatua yoyote .watakaakimya kuliko ilivyo sasa
2. Wakishindwa uchaguzi watakubali matokeo bilakipingamizi
3. Vyama vingine vilivyoshindwa uchaguzi nakulalamika wataongezewa kura ili zilingane na chama kilichoshinda na kuundaserikali ya umoja
4. Wanafunzi wote watapewa mkopo asilimia miamojabila kubagua matabaka ama fani wanayosomea
5. Wakati wa bajeti vyama vya vingine vikiletabajeti mbadala haitabadilishwa ama kuondolewa maneno makali kama ilivyo sasa
6. Rasilimali zote za nchi zitagawanywa kwa majimbo .namajimbo yasiyo na rasilimali za kutosha yataruhusiwa kujiunga na chi yoyote yajirani ndani ya ukanda wa Africa ili kuyaondoa yasisababishe umaskini.
7. Raia yeyote ataruhusiwa kutukana popotebarabarani bila kubughudhiwa na chombo chochote cha dola
8. Kama ikibidi kutumia FFU wakati wowote iwe ni kwa wanafunzi ama raiawafanyao fujo, polisi watatumia mabomu ya sponji ili wasiwaumize wananchi
9. Usalama wa Taifa hawatatumika tena katikakuishauri serikali
10. Vyombo vya habari vitaruhusiwa kuropoka lolotena ikibidi hata kuwapiga watu picha za faragha itakuwa ni jambo linaloruhusiwa
11. Mwandishi wa habari atakuwa na uhuru wa kuulizaswali lolote na popote hata kama ni swali la kijinga ama kipuuzi ili kulindademokrasia
12. Barabara zote zilizojengwa na serikali ya sasazitabomolewa na kujengwa nyingine za kisasa zaidi
13. Usafiri wa mabasi utakuwa bora zaidi kwa watukutosimama kwenye mabasi na madaladala
14. Kila raia atakuwa na uhuru wa kuingia ikulu bilakizuizi. Na raia watakoingia ikulu kwa nia ya kufanya fujo polisi watawapigamabomu ya sponji kama ilivyoainishwa kwenye namba 8 hapo juu
15. Uchaguzi utaruhusiwa kuitishwa wakati wowotepale tu wananchi watakapoamua na si kufuata katiba
16. Raisi akitenda kosa atashtakiwa maana atakuwahana kinga kama ilivyo sasa.
Watanzania neema yaja....................
Wasalaam,
1. Rais akitukanwa wao hawatachukua hatua yoyote .watakaakimya kuliko ilivyo sasa
2. Wakishindwa uchaguzi watakubali matokeo bilakipingamizi
3. Vyama vingine vilivyoshindwa uchaguzi nakulalamika wataongezewa kura ili zilingane na chama kilichoshinda na kuundaserikali ya umoja
4. Wanafunzi wote watapewa mkopo asilimia miamojabila kubagua matabaka ama fani wanayosomea
5. Wakati wa bajeti vyama vya vingine vikiletabajeti mbadala haitabadilishwa ama kuondolewa maneno makali kama ilivyo sasa
6. Rasilimali zote za nchi zitagawanywa kwa majimbo .namajimbo yasiyo na rasilimali za kutosha yataruhusiwa kujiunga na chi yoyote yajirani ndani ya ukanda wa Africa ili kuyaondoa yasisababishe umaskini.
7. Raia yeyote ataruhusiwa kutukana popotebarabarani bila kubughudhiwa na chombo chochote cha dola
8. Kama ikibidi kutumia FFU wakati wowote iwe ni kwa wanafunzi ama raiawafanyao fujo, polisi watatumia mabomu ya sponji ili wasiwaumize wananchi
9. Usalama wa Taifa hawatatumika tena katikakuishauri serikali
10. Vyombo vya habari vitaruhusiwa kuropoka lolotena ikibidi hata kuwapiga watu picha za faragha itakuwa ni jambo linaloruhusiwa
11. Mwandishi wa habari atakuwa na uhuru wa kuulizaswali lolote na popote hata kama ni swali la kijinga ama kipuuzi ili kulindademokrasia
12. Barabara zote zilizojengwa na serikali ya sasazitabomolewa na kujengwa nyingine za kisasa zaidi
13. Usafiri wa mabasi utakuwa bora zaidi kwa watukutosimama kwenye mabasi na madaladala
14. Kila raia atakuwa na uhuru wa kuingia ikulu bilakizuizi. Na raia watakoingia ikulu kwa nia ya kufanya fujo polisi watawapigamabomu ya sponji kama ilivyoainishwa kwenye namba 8 hapo juu
15. Uchaguzi utaruhusiwa kuitishwa wakati wowotepale tu wananchi watakapoamua na si kufuata katiba
16. Raisi akitenda kosa atashtakiwa maana atakuwahana kinga kama ilivyo sasa.
Watanzania neema yaja....................
Wasalaam,