Habari wanajamvi, naimani mko poa,
Moja kwa moja kwenye mada, Kuna kipindi niliota ndoto ya namna hiii, ndoto yenyewe ni ya shule yaani niliota Niko shuleni Advance, sikuwa na imani mbaya na ile ndoto mpaka ilipokuwa inajirudia.
Hapo ipinishtua nakuanza kuulizia maana yake ni ipi, majibu mengi nilioyapata ni kwamba kunadalili za kurudi nyuma kimaisha, asee huwezi amini sehemu ambayo nilikua nafanya biashara Mambo yalienda kombo mpaka stage ya kurudi kijijini.
Sasa baada ya muda Tena hali imejirudia mbaya zaidi nimeota nimerudi level za chini zaidi (latatu B) hali inayonifanya niwaze lipi linaenda kunikumba tena. Nakaribisha ushauri wenu wanajamvi.
Moja kwa moja kwenye mada, Kuna kipindi niliota ndoto ya namna hiii, ndoto yenyewe ni ya shule yaani niliota Niko shuleni Advance, sikuwa na imani mbaya na ile ndoto mpaka ilipokuwa inajirudia.
Hapo ipinishtua nakuanza kuulizia maana yake ni ipi, majibu mengi nilioyapata ni kwamba kunadalili za kurudi nyuma kimaisha, asee huwezi amini sehemu ambayo nilikua nafanya biashara Mambo yalienda kombo mpaka stage ya kurudi kijijini.
Sasa baada ya muda Tena hali imejirudia mbaya zaidi nimeota nimerudi level za chini zaidi (latatu B) hali inayonifanya niwaze lipi linaenda kunikumba tena. Nakaribisha ushauri wenu wanajamvi.