Ndoto: Hivi mwanasiasa wa kiume anawezaje kushinda Miss Tanzania?

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
1,230
2,396
Asalam aleykum!

Jamani haya maisha yanachekesha sana na ukiyafikiria sana unaweza kupasuka kichwa, basi juzi kuamkia jana bwana kama kawaida katika ndoto niko sehemu kama nimesimama hivi. Nilikuwa kama kuna mtu amenisimamisha anataka kuniambia jambo fulani, kwa mbalii nikawa kama nasikia minong'ono ya kuhusu MISS Tanzania halafu mashindano yenyewe yanafanyika mwezi wa kumi na mbili yaani December.

Basi ghafla kuna mtu akanifungulia file ananionyesha washiriki na watu watatu ambao wanaweza kushinda. File lilikuwa na picha na majina ya wagombea. Washiriki walikuwa wengi lakini nikamulikiwa taa kwenye watu watatu ikawa kama wengine hawaonekani vizuri wamezibwa na kiza.

Kuna mtu mmoja sasa katika wale watu watatu taa ikamulika sana kwenye jina na picha yake coz yeye ndio atayeshinda, ilimulika mfano wa indicator za gari zinavyoashiria kwamba gari inapita kulia au kushoto, yaani ilikuwa inafanya muli muli muli muli, jambo lililonishangaza ni:

1. Mwanasiasa wa kiume anawezaje kuja kushinda MISS TANZANIA?
2. Je ni kweli kwamba mwezi wa kumi na mbili kutakuwa na shindano la Miss Tanzania.
3. Kwanini herufi ya mwanzo ya jina lake ilikuwa inaleta majina tofautu tofauti mengi kwa staili ya kimuli muli mpaka nikashindwa kulisoma vizuri, yaani jina ni la fulani lakini likawa linajichanganya changanya na majina mengine lakini herufi ya mwanzo ni hiyohiyo?

Yaani kama ni K au R ni hiyo hiyo

NB: Haya sio maono bali ni ndoto tu ya kawaida jamani lakini inaweza kuwa na uhalisia wa jambo fulani
 
Asalam aleykum!

Jamani haya maisha yanachekesha sana na ukiyafikiria sana unaweza kupasuka kichwa, basi juzi kuamkia jana bwana kama kawaida katika ndoto niko sehemu kama nimesimama hivi. Nilikuwa kama kuna mtu amenisimamisha anataka kuniambia jambo fulani, kwa mbalii nikawa kama nasikia minong'ono ya kuhusu MISS Tanzania halafu mashindano yenyewe yanafanyika mwezi wa kumi na mbili yaani December.

Basi ghafla kuna mtu akanifungulia file ananionyesha washiriki na watu watatu ambao wanaweza kushinda. File lilikuwa na picha na majina ya wagombea. Washiriki walikuwa wengi lakini nikamulikiwa taa kwenye watu watatu ikawa kama wengine hawaonekani vizuri wamezibwa na kiza.

Kuna mtu mmoja sasa katika wale watu watatu taa ikamulika sana kwenye jina na picha yake coz yeye ndio atayeshinda, ilimulika mfano wa indicator za gari zinavyoashiria kwamba gari inapita kulia au kushoto, yaani ilikuwa inafanya muli muli muli muli, jambo lililonishangaza ni:

1. Mwanasiasa wa kiume anawezaje kuja kushinda MISS TANZANIA?
2. Je ni kweli kwamba mwezi wa kumi na mbili kutakuwa na shindano la Miss Tanzania.
3. Kwa nini herufi ya mwanzo ya jina lake ilikuwa inaleta majina tofautu tofauti mengi kwa staili ya kimuli muli mpaka nikashindwa kulisoma vizuri, yaani jina ni la fulani lakini likawa linajichanganya changanya na majina mengine lakini herufi ya mwanzo ni hiyohiyo?

Yaani kama ni K au R ni hiyo hiyo

NB: Haya sio maono bali ni ndoto tu ya kawaida jamani lakini inaweza kuwa na uhalisia wa jambo fulani
Choo cha kike hiki!
 
Asalam aleykum!

Jamani haya maisha yanachekesha sana na ukiyafikiria sana unaweza kupasuka kichwa, basi juzi kuamkia jana bwana kama kawaida katika ndoto niko sehemu kama nimesimama hivi. Nilikuwa kama kuna mtu amenisimamisha anataka kuniambia jambo fulani, kwa mbalii nikawa kama nasikia minong'ono ya kuhusu MISS Tanzania halafu mashindano yenyewe yanafanyika mwezi wa kumi na mbili yaani December.

Basi ghafla kuna mtu akanifungulia file ananionyesha washiriki na watu watatu ambao wanaweza kushinda. File lilikuwa na picha na majina ya wagombea. Washiriki walikuwa wengi lakini nikamulikiwa taa kwenye watu watatu ikawa kama wengine hawaonekani vizuri wamezibwa na kiza.

Kuna mtu mmoja sasa katika wale watu watatu taa ikamulika sana kwenye jina na picha yake coz yeye ndio atayeshinda, ilimulika mfano wa indicator za gari zinavyoashiria kwamba gari inapita kulia au kushoto, yaani ilikuwa inafanya muli muli muli muli, jambo lililonishangaza ni:

1. Mwanasiasa wa kiume anawezaje kuja kushinda MISS TANZANIA?
2. Je ni kweli kwamba mwezi wa kumi na mbili kutakuwa na shindano la Miss Tanzania.
3. Kwanini herufi ya mwanzo ya jina lake ilikuwa inaleta majina tofautu tofauti mengi kwa staili ya kimuli muli mpaka nikashindwa kulisoma vizuri, yaani jina ni la fulani lakini likawa linajichanganya changanya na majina mengine lakini herufi ya mwanzo ni hiyohiyo?

Yaani kama ni K au R ni hiyo hiyo

NB: Haya sio maono bali ni ndoto tu ya kawaida jamani lakini inaweza kuwa na uhalisia wa jambo fulani
Tuandae maturubai.. Ndoto yako ya ndege imetupa fundisho kubwa
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom