Ndoto gani uliyowahi kuota ulivoshtuka ukashukuru kuwa ni ndoto sio uhalisia?

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
1,714
1,821
Hebu tujikumbushe ni ndoto gani/zipi tulizowahi kuota ambazo hazikuwa nzuri kiasi kwamba tulivoshtuka toka kwenye hizo ndoto tulishukuru sana kuwa afadhali zile ni ndoto tu sio uhalisia

Kwa upande wangu ndoto niliyowahi kuota ni ile ya kuibiwa gari la kampuni ambalo nililichukua kinyume na utaratibu wa mwajiri wangu na kwenda nalo mkoa tofauti ambako ndiko lilipoibiwa...nakumbuka nilivoshtuka toka kwenye ile ndoto nilijikuta mwili wote umelowa kwa jasho :)
 
Hebu tujikumbushe ni ndoto gani/zipi tulizowahi kuota ambazo hazikuwa nzuri kiasi kwamba tulivoshtuka toka kwenye hizo ndoto tulishukuru sana kuwa afadhali zile ni ndoto tu sio uhalisia

Kwa upande wangu ndoto niliyowahi kuota ni ile ya kuibiwa gari la kampuni ambalo nililichukua kinyume na utaratibu wa mwajiri wangu na kwenda nalo mkoa tofauti ambako ndiko lilipoibiwa...nakumbuka nilivoshtuka toka kwenye ile ndoto nilijikuta mwili wote umelowa kwa jasho :)
Ni kweli liliibiwa?
 
Mimi siku ya birthday yangu juzi oct 7 niliota nimezaliwa kipindi cha ukoloni alafu bashite na sizonje tumedakwa tuko mashua moja tunapelekwa mbelezzzz na baharia le mutuzzzz kwa ajili ya utumwa , m glad woke up to find out t was jus a dream
 
kama wiki mbili zimepita niliota siku ya kiama imefika halafu nimebaki mwenyewe wote ninaowajua siwaoni. nikashtuka usingizini nina hofu kuangalia pembeni mwenzangu bado amelala nikashukuru ni ndoto tu.
 
kama wiki mbili zimepita niliota siku ya kiama imefika halafu nimebaki mwenyewe wote ninaowajua siwaoni. nikashtuka usingizini nina hofu kuangalia pembeni mwenzangu bado amelala nikashukuru ni ndoto tu.
Sijui ingekuwaje kama ungekuwa unalala peke yako kwenye nyumba nzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom