Ndoto tunazoota na tafsiri zake

SOMO: AINA YA NDOTO 800 HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.
+255755554559 piga simu kwa maombi pia unaweza kutuma iyo ndoto yako kwa meseg WhatsApp
Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

AINA YA NDOTO HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu)

Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako)

1. Kuota kuna Vipingamizi vya kuzia usiendelee mbele( Ni Ishara adui anaweza Uzio kwenye Mafanikio yako)

2. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara kuwa umeunganishwa na mtandao wa kiuchawi)

3. Kuota unaoanda mlima kwa taabu sana( Ni Ishara kuwa adui anakufanya uhangaike sana kabla ya kupata riziki)

4. Kuota uko kwenye Mataa ya Barabarani( Ni Ishara kuwa pana Vikwazo vya kuendelea

5. Kuota umetumbukia shimoni (Ni Ishara kuwa adui ameshakuweka kwenye shimo fulani)

6. Kuota Upepo Mkali (Ni ishara Mungu qnakwambia Mbele kuna Vita)

7. Kuota unanyonyesha Mtoto wakati hauna mtoto(Ni Ishara kuwa kuna maadui wananufaika na wewe bila wewe kujijua)

8. Kuibiwa nguo kwenye ndoto(Ni Ishara kuwa adui anapanga kukuondolea Heshima na utukufi wako)

9. Kuota umebeba mzigo mzito (Ni Ishara adui amekubebesha mizigo mizito)

10. Kuota kofia yako imechukuliwa na upepo ( Ni Ishara ya kuaibishwa)

11. Kuota upo katikati ya giza nene( Ni Ishara ya Upofu wa Kiroho unakuvamia)

12. Kuota moto mkali unateketeza (Ni ishara ya mashambulizi ya Majanga kutokea)

13. Kuota unafanya mitihani ila hujamaliza karatasi zikakusanywa (Ni Ishara kuwa Roho ya Kufeli inakuandama)

14. Kuota Unasafiri ila hufiki unakokwenda(Ni Ishara adui anarefusha Mafanikio yako yasikufikie haraka)

15. Kuota umepigwa risasi ( Ni Ishara kuwa adui anakurushia mashambulizi)

16. Kuota umevaa nguo zilizochanika ( Ni Ishara ya roho ya Umaskini)

17. Kuota uko kwenye mazingira Yamezungukwa na Vinyesi ( Ni Ishara ya Kuwa Ibilisi anafanya kila awezalo kukuzia Usiende Mbinguni)

18. Kuota uko Uchi Ndotoni ( Ni Ishara ya kuaibishwa na kufedheheshwa)

19.Kuota umepoteza pete ya ndoa au gauni ya harusi ( Ni Ishara kuna Mpango wa Mashambulizi dhidi ya ndoa yenu)

20. Kuota mmevamiwa na kuibiwa ( Ni Ishara kuwa adui anapanga kuwaletea roho ya Umaskini au Ufakara na kupungukiwa)

21. Kuota umeumwa na Mbwa ( Ni Ishara kuwa roho za Uzinzi na Uasherati zinakutesa)

22. Kuota umeshambuliwa na Paka ( Ni Ishara ya Mashambulizi ya roho za Kichawi)

23. Kuota unashambuliwa na Nyoka (Ujue adui anakutegea Sumu)

24. Kuota umepoteza Fedha (Ni Ishara ya shambulio juu ya uchumi(

25. Kuota kuna mtu anakulaani. (NI ishara kuwa bado kuna misingi ya laana haijavunjwa juu yako)

26. Kuota unatokwa Damu puani na sehemu zingine za Mwili (Ni Ishara kuwa Kuna Mashambulizi juu ya Afya yako)

27. Kuota uko sokoni unazunguka na hauna kiti cha kufanya ( Ni Ishara kuwa roho za Ukichaa zinakunyemelea)

28. Kuota unafanya mapenzi Kwenye ndoto ( Ni Ishara kuwa unasumbuliwa na Roho ya jini Mahaba au Uzinzi)
Na pia ukiwa na haya hata maisha yako yanakua hayana ujasiri na unakua mtu wa hasira tu

29. Kuota umevaa nguo za Msingi wakati wewe ni mtu mzima sasa ( Ni shara ya Kudumaa kimafanikio)

30. Kuota Unakufa ( Ujue roho ya mauti ya Kiuchumi,kimwili kiafya inakuandama(

31.Kuota majeneza au Makaburi ( Ni Ishara ya roho ya mauti inafanyakazi)

32. Kuota unafukuzwa na Wanyama ( Ni ishara kuwa kuna Mashambulizi yalishaachiliwa juu yako katika ulimwengu wa roho)

33. Kuota Ndege Bundi au Popo ( Ni ishara kuwa unasumbuliwa na roho ya unafiki na masengenyo)

34. Kuota kuna Utando umekuzonga ( Ni ishara ya roho ya kukataliwa)

35.Kuota umepoteza Vyeti vya Shule ( Ni ishara adui anakuzuia usipate kazi)

36. Kuota umevaa Wigi Kwenye ndoto ( Ni Ishara ya utukufu Bandia juu yako)

37. Kuota makufuri ( Ni ishara kuna maeneo fulani juu ya maisha yako yamefungwa)

38. Kuota unalia ( Ishara ya roho ya huzuni)

39. Kuota Umeangusha Biblia au Umeshindwa kusoma Neno ( Ni Ishara kuwa adui anataka kuliondoa Neno juu yako)

40.Kuota unaogelea Kwenye Maji ( Ni Ishara ya majaribu yako mbele zako)

41.Kuota unatembea peku( Ni ishara ya roho ya umaskini na kwa wanandoa ni ishara ya Kuachana na mwenzi wako)

42. Kuota umevaa manguo Meusi au Kofia nyeusi ( Ni Ishara bado kuna utawqla wa Giza na Mapepo ndani yako)

43. Ukiota nyoka mweusi ni ishara ya ADUI mkubwa anakufuatilia.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.


Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

MBARIKIWE NA BWANA Mungu
ndoto no 13 inajirudia kwangu japo shule nilimaliza kitambo
 
SOMO: AINA YA NDOTO 800 HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.
+255755554559 piga simu kwa maombi pia unaweza kutuma iyo ndoto yako kwa meseg WhatsApp
Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

AINA YA NDOTO HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu)

Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako)

1. Kuota kuna Vipingamizi vya kuzia usiendelee mbele( Ni Ishara adui anaweza Uzio kwenye Mafanikio yako)

2. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara kuwa umeunganishwa na mtandao wa kiuchawi)

3. Kuota unaoanda mlima kwa taabu sana( Ni Ishara kuwa adui anakufanya uhangaike sana kabla ya kupata riziki)

4. Kuota uko kwenye Mataa ya Barabarani( Ni Ishara kuwa pana Vikwazo vya kuendelea

5. Kuota umetumbukia shimoni (Ni Ishara kuwa adui ameshakuweka kwenye shimo fulani)

6. Kuota Upepo Mkali (Ni ishara Mungu qnakwambia Mbele kuna Vita)

7. Kuota unanyonyesha Mtoto wakati hauna mtoto(Ni Ishara kuwa kuna maadui wananufaika na wewe bila wewe kujijua)

8. Kuibiwa nguo kwenye ndoto(Ni Ishara kuwa adui anapanga kukuondolea Heshima na utukufi wako)

9. Kuota umebeba mzigo mzito (Ni Ishara adui amekubebesha mizigo mizito)

10. Kuota kofia yako imechukuliwa na upepo ( Ni Ishara ya kuaibishwa)

11. Kuota upo katikati ya giza nene( Ni Ishara ya Upofu wa Kiroho unakuvamia)

12. Kuota moto mkali unateketeza (Ni ishara ya mashambulizi ya Majanga kutokea)

13. Kuota unafanya mitihani ila hujamaliza karatasi zikakusanywa (Ni Ishara kuwa Roho ya Kufeli inakuandama)

14. Kuota Unasafiri ila hufiki unakokwenda(Ni Ishara adui anarefusha Mafanikio yako yasikufikie haraka)

15. Kuota umepigwa risasi ( Ni Ishara kuwa adui anakurushia mashambulizi)

16. Kuota umevaa nguo zilizochanika ( Ni Ishara ya roho ya Umaskini)

17. Kuota uko kwenye mazingira Yamezungukwa na Vinyesi ( Ni Ishara ya Kuwa Ibilisi anafanya kila awezalo kukuzia Usiende Mbinguni)

18. Kuota uko Uchi Ndotoni ( Ni Ishara ya kuaibishwa na kufedheheshwa)

19.Kuota umepoteza pete ya ndoa au gauni ya harusi ( Ni Ishara kuna Mpango wa Mashambulizi dhidi ya ndoa yenu)

20. Kuota mmevamiwa na kuibiwa ( Ni Ishara kuwa adui anapanga kuwaletea roho ya Umaskini au Ufakara na kupungukiwa)

21. Kuota umeumwa na Mbwa ( Ni Ishara kuwa roho za Uzinzi na Uasherati zinakutesa)

22. Kuota umeshambuliwa na Paka ( Ni Ishara ya Mashambulizi ya roho za Kichawi)

23. Kuota unashambuliwa na Nyoka (Ujue adui anakutegea Sumu)

24. Kuota umepoteza Fedha (Ni Ishara ya shambulio juu ya uchumi(

25. Kuota kuna mtu anakulaani. (NI ishara kuwa bado kuna misingi ya laana haijavunjwa juu yako)

26. Kuota unatokwa Damu puani na sehemu zingine za Mwili (Ni Ishara kuwa Kuna Mashambulizi juu ya Afya yako)

27. Kuota uko sokoni unazunguka na hauna kiti cha kufanya ( Ni Ishara kuwa roho za Ukichaa zinakunyemelea)

28. Kuota unafanya mapenzi Kwenye ndoto ( Ni Ishara kuwa unasumbuliwa na Roho ya jini Mahaba au Uzinzi)
Na pia ukiwa na haya hata maisha yako yanakua hayana ujasiri na unakua mtu wa hasira tu

29. Kuota umevaa nguo za Msingi wakati wewe ni mtu mzima sasa ( Ni shara ya Kudumaa kimafanikio)

30. Kuota Unakufa ( Ujue roho ya mauti ya Kiuchumi,kimwili kiafya inakuandama(

31.Kuota majeneza au Makaburi ( Ni Ishara ya roho ya mauti inafanyakazi)

32. Kuota unafukuzwa na Wanyama ( Ni ishara kuwa kuna Mashambulizi yalishaachiliwa juu yako katika ulimwengu wa roho)

33. Kuota Ndege Bundi au Popo ( Ni ishara kuwa unasumbuliwa na roho ya unafiki na masengenyo)

34. Kuota kuna Utando umekuzonga ( Ni ishara ya roho ya kukataliwa)

35.Kuota umepoteza Vyeti vya Shule ( Ni ishara adui anakuzuia usipate kazi)

36. Kuota umevaa Wigi Kwenye ndoto ( Ni Ishara ya utukufu Bandia juu yako)

37. Kuota makufuri ( Ni ishara kuna maeneo fulani juu ya maisha yako yamefungwa)

38. Kuota unalia ( Ishara ya roho ya huzuni)

39. Kuota Umeangusha Biblia au Umeshindwa kusoma Neno ( Ni Ishara kuwa adui anataka kuliondoa Neno juu yako)

40.Kuota unaogelea Kwenye Maji ( Ni Ishara ya majaribu yako mbele zako)

41.Kuota unatembea peku( Ni ishara ya roho ya umaskini na kwa wanandoa ni ishara ya Kuachana na mwenzi wako)

42. Kuota umevaa manguo Meusi au Kofia nyeusi ( Ni Ishara bado kuna utawqla wa Giza na Mapepo ndani yako)

43. Ukiota nyoka mweusi ni ishara ya ADUI mkubwa anakufuatilia.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.


Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

MBARIKIWE NA BWANA Mungu
Ndoto nyingi huwa zinajirudia mara kwa mara cjui unanisaidiaje.
 
SOMO: AINA YA NDOTO 800 HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.
+255755554559 piga simu kwa maombi pia unaweza kutuma iyo ndoto yako kwa meseg WhatsApp
Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

AINA YA NDOTO HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

👉Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu)

👉 Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako)

1. Kuota kuna Vipingamizi vya kuzia usiendelee mbele( Ni Ishara adui anaweza Uzio kwenye Mafanikio yako)

2. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara kuwa umeunganishwa na mtandao wa kiuchawi)

3. Kuota unaoanda mlima kwa taabu sana( Ni Ishara kuwa adui anakufanya uhangaike sana kabla ya kupata riziki)

4. Kuota uko kwenye Mataa ya Barabarani( Ni Ishara kuwa pana Vikwazo vya kuendelea

5. Kuota umetumbukia shimoni (Ni Ishara kuwa adui ameshakuweka kwenye shimo fulani)

6. Kuota Upepo Mkali (Ni ishara Mungu qnakwambia Mbele kuna Vita)

7. Kuota unanyonyesha Mtoto wakati hauna mtoto(Ni Ishara kuwa kuna maadui wananufaika na wewe bila wewe kujijua)

8. Kuibiwa nguo kwenye ndoto(Ni Ishara kuwa adui anapanga kukuondolea Heshima na utukufi wako)

9. Kuota umebeba mzigo mzito (Ni Ishara adui amekubebesha mizigo mizito)

10. Kuota kofia yako imechukuliwa na upepo ( Ni Ishara ya kuaibishwa)

11. Kuota upo katikati ya giza nene( Ni Ishara ya Upofu wa Kiroho unakuvamia)

12. Kuota moto mkali unateketeza (Ni ishara ya mashambulizi ya Majanga kutokea)

13. Kuota unafanya mitihani ila hujamaliza karatasi zikakusanywa (Ni Ishara kuwa Roho ya Kufeli inakuandama)

14. Kuota Unasafiri ila hufiki unakokwenda(Ni Ishara adui anarefusha Mafanikio yako yasikufikie haraka)

15. Kuota umepigwa risasi ( Ni Ishara kuwa adui anakurushia mashambulizi)

16. Kuota umevaa nguo zilizochanika ( Ni Ishara ya roho ya Umaskini)

17. Kuota uko kwenye mazingira Yamezungukwa na Vinyesi ( Ni Ishara ya Kuwa Ibilisi anafanya kila awezalo kukuzia Usiende Mbinguni)

18. Kuota uko Uchi Ndotoni ( Ni Ishara ya kuaibishwa na kufedheheshwa)

19.Kuota umepoteza pete ya ndoa au gauni ya harusi ( Ni Ishara kuna Mpango wa Mashambulizi dhidi ya ndoa yenu)

20. Kuota mmevamiwa na kuibiwa ( Ni Ishara kuwa adui anapanga kuwaletea roho ya Umaskini au Ufakara na kupungukiwa)

21. Kuota umeumwa na Mbwa ( Ni Ishara kuwa roho za Uzinzi na Uasherati zinakutesa)

22. Kuota umeshambuliwa na Paka ( Ni Ishara ya Mashambulizi ya roho za Kichawi)

23. Kuota unashambuliwa na Nyoka (Ujue adui anakutegea Sumu)

24. Kuota umepoteza Fedha (Ni Ishara ya shambulio juu ya uchumi(

25. Kuota kuna mtu anakulaani. (NI ishara kuwa bado kuna misingi ya laana haijavunjwa juu yako)

26. Kuota unatokwa Damu puani na sehemu zingine za Mwili (Ni Ishara kuwa Kuna Mashambulizi juu ya Afya yako)

27. Kuota uko sokoni unazunguka na hauna kiti cha kufanya ( Ni Ishara kuwa roho za Ukichaa zinakunyemelea)

28. Kuota unafanya mapenzi Kwenye ndoto ( Ni Ishara kuwa unasumbuliwa na Roho ya jini Mahaba au Uzinzi)
Na pia ukiwa na haya hata maisha yako yanakua hayana ujasiri na unakua mtu wa hasira tu

29. Kuota umevaa nguo za Msingi wakati wewe ni mtu mzima sasa ( Ni shara ya Kudumaa kimafanikio)

30. Kuota Unakufa ( Ujue roho ya mauti ya Kiuchumi,kimwili kiafya inakuandama(

31.Kuota majeneza au Makaburi ( Ni Ishara ya roho ya mauti inafanyakazi)

32. Kuota unafukuzwa na Wanyama ( Ni ishara kuwa kuna Mashambulizi yalishaachiliwa juu yako katika ulimwengu wa roho)

33. Kuota Ndege Bundi au Popo ( Ni ishara kuwa unasumbuliwa na roho ya unafiki na masengenyo)

34. Kuota kuna Utando umekuzonga ( Ni ishara ya roho ya kukataliwa)

35.Kuota umepoteza Vyeti vya Shule ( Ni ishara adui anakuzuia usipate kazi)

36. Kuota umevaa Wigi Kwenye ndoto ( Ni Ishara ya utukufu Bandia juu yako)

37. Kuota makufuri ( Ni ishara kuna maeneo fulani juu ya maisha yako yamefungwa)

38. Kuota unalia ( Ishara ya roho ya huzuni)

39. Kuota Umeangusha Biblia au Umeshindwa kusoma Neno ( Ni Ishara kuwa adui anataka kuliondoa Neno juu yako)

40.Kuota unaogelea Kwenye Maji ( Ni Ishara ya majaribu yako mbele zako)

41.Kuota unatembea peku( Ni ishara ya roho ya umaskini na kwa wanandoa ni ishara ya Kuachana na mwenzi wako)

42. Kuota umevaa manguo Meusi au Kofia nyeusi ( Ni Ishara bado kuna utawqla wa Giza na Mapepo ndani yako)

43. Ukiota nyoka mweusi ni ishara ya ADUI mkubwa anakufuatilia.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.


Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

MBARIKIWE NA BWANA Mungu

Eeeeh mwenyezi mungu niepushe na madhila hayo, namba 13 na 14 yaani zinaniandama sana, ila yatakwisha kwa uwezo wake Allah
 
SOMO: AINA YA NDOTO 800 HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.
+255755554559 piga simu kwa maombi pia unaweza kutuma iyo ndoto yako kwa meseg WhatsApp
Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

AINA YA NDOTO HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

👉Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu)

👉 Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako)

1. Kuota kuna Vipingamizi vya kuzia usiendelee mbele( Ni Ishara adui anaweza Uzio kwenye Mafanikio yako)

2. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara kuwa umeunganishwa na mtandao wa kiuchawi)

3. Kuota unaoanda mlima kwa taabu sana( Ni Ishara kuwa adui anakufanya uhangaike sana kabla ya kupata riziki)

4. Kuota uko kwenye Mataa ya Barabarani( Ni Ishara kuwa pana Vikwazo vya kuendelea

5. Kuota umetumbukia shimoni (Ni Ishara kuwa adui ameshakuweka kwenye shimo fulani)

6. Kuota Upepo Mkali (Ni ishara Mungu qnakwambia Mbele kuna Vita)

7. Kuota unanyonyesha Mtoto wakati hauna mtoto(Ni Ishara kuwa kuna maadui wananufaika na wewe bila wewe kujijua)

8. Kuibiwa nguo kwenye ndoto(Ni Ishara kuwa adui anapanga kukuondolea Heshima na utukufi wako)

9. Kuota umebeba mzigo mzito (Ni Ishara adui amekubebesha mizigo mizito)

10. Kuota kofia yako imechukuliwa na upepo ( Ni Ishara ya kuaibishwa)

11. Kuota upo katikati ya giza nene( Ni Ishara ya Upofu wa Kiroho unakuvamia)

12. Kuota moto mkali unateketeza (Ni ishara ya mashambulizi ya Majanga kutokea)

13. Kuota unafanya mitihani ila hujamaliza karatasi zikakusanywa (Ni Ishara kuwa Roho ya Kufeli inakuandama)

14. Kuota Unasafiri ila hufiki unakokwenda(Ni Ishara adui anarefusha Mafanikio yako yasikufikie haraka)

15. Kuota umepigwa risasi ( Ni Ishara kuwa adui anakurushia mashambulizi)

16. Kuota umevaa nguo zilizochanika ( Ni Ishara ya roho ya Umaskini)

17. Kuota uko kwenye mazingira Yamezungukwa na Vinyesi ( Ni Ishara ya Kuwa Ibilisi anafanya kila awezalo kukuzia Usiende Mbinguni)

18. Kuota uko Uchi Ndotoni ( Ni Ishara ya kuaibishwa na kufedheheshwa)

19.Kuota umepoteza pete ya ndoa au gauni ya harusi ( Ni Ishara kuna Mpango wa Mashambulizi dhidi ya ndoa yenu)

20. Kuota mmevamiwa na kuibiwa ( Ni Ishara kuwa adui anapanga kuwaletea roho ya Umaskini au Ufakara na kupungukiwa)

21. Kuota umeumwa na Mbwa ( Ni Ishara kuwa roho za Uzinzi na Uasherati zinakutesa)

22. Kuota umeshambuliwa na Paka ( Ni Ishara ya Mashambulizi ya roho za Kichawi)

23. Kuota unashambuliwa na Nyoka (Ujue adui anakutegea Sumu)

24. Kuota umepoteza Fedha (Ni Ishara ya shambulio juu ya uchumi(

25. Kuota kuna mtu anakulaani. (NI ishara kuwa bado kuna misingi ya laana haijavunjwa juu yako)

26. Kuota unatokwa Damu puani na sehemu zingine za Mwili (Ni Ishara kuwa Kuna Mashambulizi juu ya Afya yako)

27. Kuota uko sokoni unazunguka na hauna kiti cha kufanya ( Ni Ishara kuwa roho za Ukichaa zinakunyemelea)

28. Kuota unafanya mapenzi Kwenye ndoto ( Ni Ishara kuwa unasumbuliwa na Roho ya jini Mahaba au Uzinzi)
Na pia ukiwa na haya hata maisha yako yanakua hayana ujasiri na unakua mtu wa hasira tu

29. Kuota umevaa nguo za Msingi wakati wewe ni mtu mzima sasa ( Ni shara ya Kudumaa kimafanikio)

30. Kuota Unakufa ( Ujue roho ya mauti ya Kiuchumi,kimwili kiafya inakuandama(

31.Kuota majeneza au Makaburi ( Ni Ishara ya roho ya mauti inafanyakazi)

32. Kuota unafukuzwa na Wanyama ( Ni ishara kuwa kuna Mashambulizi yalishaachiliwa juu yako katika ulimwengu wa roho)

33. Kuota Ndege Bundi au Popo ( Ni ishara kuwa unasumbuliwa na roho ya unafiki na masengenyo)

34. Kuota kuna Utando umekuzonga ( Ni ishara ya roho ya kukataliwa)

35.Kuota umepoteza Vyeti vya Shule ( Ni ishara adui anakuzuia usipate kazi)

36. Kuota umevaa Wigi Kwenye ndoto ( Ni Ishara ya utukufu Bandia juu yako)

37. Kuota makufuri ( Ni ishara kuna maeneo fulani juu ya maisha yako yamefungwa)

38. Kuota unalia ( Ishara ya roho ya huzuni)

39. Kuota Umeangusha Biblia au Umeshindwa kusoma Neno ( Ni Ishara kuwa adui anataka kuliondoa Neno juu yako)

40.Kuota unaogelea Kwenye Maji ( Ni Ishara ya majaribu yako mbele zako)

41.Kuota unatembea peku( Ni ishara ya roho ya umaskini na kwa wanandoa ni ishara ya Kuachana na mwenzi wako)

42. Kuota umevaa manguo Meusi au Kofia nyeusi ( Ni Ishara bado kuna utawqla wa Giza na Mapepo ndani yako)

43. Ukiota nyoka mweusi ni ishara ya ADUI mkubwa anakufuatilia.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.


Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

MBARIKIWE NA BWANA Mungu

Mi nimeota natembea kutoka kwenye nyumba ya ghorofa, nikiwa nipo ground floor naelekea kukaribia mlango wa kutokea kawaida tu. Ghafla hilo ghorofa likatikiswa na kuanguka kuanzia juu kuja chini ghorofa lote basi nikaanza kukimbia nikaribie kufikia lango la kutokea nje japo niliona kutoka ngumu sana na kuna nguzo fulani hapo karibu mapokezi nikataka niishirikirie na wakati huo nikiwa na mawazo kwamba hiyo nguzo inaweza kubaki isianguke waokoaji wakaja kunifukua hapo au ni-risk kwenda mlangoni nijaribu kutoka ( wakati huo juu kunaporomoka na hapo chini pana tetemeko kubwa ) nikiwa natafakari uamuzi gani wa kuchukua kati ya kushikilia nguzo au niruke nje nikastuka usingizini.

Baadae nikaota nipo na wenzangu jumla watatu tuna sanduku la mali za thamani sijui madini au dola. Tukawa tunapanga kuondoka tulipokuwa (porini kuja mjini) lakini tukawa tunabishana tunondoka huko porini vipi bila ulinzi wakati hilo pori lina majambazi waviziaji wengi sana au tufanyeje. Basi tukakubaliana kwanza kila mtu mwenye smart phone azime data kama kuna watu wanatufanyia tracking wasiweze kutuona. Baadaye tukapanga kuondoka lakini tukasita tukiwa na uhakika lazima kuna watu mahala watakuwa wametuwekea ambush, basi katika hangaika hangaika tukawa tumepata bastola lakini mbovu ukijaribu kupiga risasi mara inafyatua mara inagoma. Tukaanza kuulizana twende tusiende? wengine kati yetu wanasema twende wengine wanagoma wanasema usalama hautoshelezi, nikaamka.
 
Mi nimeota natembea kutoka kwenye nyumba ya ghorofa, nikiwa nipo ground floor naelekea kukaribia mlango wa kutokea kawaida tu. Ghafla hilo ghorofa likatikiswa na kuanguka kuanzia juu kuja chini ghorofa lote basi nikaanza kukimbia nikaribie kufikia lango la kutokea nje japo niliona kutoka ngumu sana na kuna nguzo fulani hapo karibu mapokezi nikataka niishirikirie na wakati huo nikiwa na mawazo kwamba hiyo nguzo inaweza kubaki isianguke waokoaji wakaja kunifukua hapo au ni-risk kwenda mlangoni nijaribu kutoka ( wakati huo juu kunaporomoka na hapo chini pana tetemeko kubwa ) nikiwa natafakari uamuzi gani wa kuchukua kati ya kushikilia nguzo au niruke nje nikastuka usingizini.
Baadae nikaota nipo na wenzangu jumla watatu tuna sanduku la mali za thamani sijui madini au dola. Tukawa tunapanga kuondoka tulipokuwa (porini kuja mjini) lakini tukawa tunabishana tunondoka huko porini vipi bila ulinzi wakati hilo pori lina majambazi waviziaji wengi sana au tufanyeje. Basi tukakubaliana kwanza kila mtu mwenye smart phone azime data kama kuna watu wanatufanyia tracking wasiweze kutuona. Baadaye tukapanga kuondoka lakini tukasita tukiwa na uhakika lazima kuna watu mahala watakuwa wametuwekea ambush, basi katika hangaika hangaika tukawa tumepata bastola lakini mbovu ukijaribu kupiga risasi mara inafyatua mara inagoma. Tukaanza kuulizana twende tusiende? wengine kati yetu wanasema twende wengine wanagoma wanasema usalama hautoshelezi, nikaamka.
Tafsiri ya ndoto ya pili
Inainyesha kwenye maisha kuna mpango mkubwa unataka kuufanya lakini unasita kuufanya unahofia hasara na maadui na usalama lamaana kabla ya yote jiwekee utayari wa kupambana kabla ya yoote unayotamani kuwekeza
 
Mi nimeota natembea kutoka kwenye nyumba ya ghorofa, nikiwa nipo ground floor naelekea kukaribia mlango wa kutokea kawaida tu. Ghafla hilo ghorofa likatikiswa na kuanguka kuanzia juu kuja chini ghorofa lote basi nikaanza kukimbia nikaribie kufikia lango la kutokea nje japo niliona kutoka ngumu sana na kuna nguzo fulani hapo karibu mapokezi nikataka niishirikirie na wakati huo nikiwa na mawazo kwamba hiyo nguzo inaweza kubaki isianguke waokoaji wakaja kunifukua hapo au ni-risk kwenda mlangoni nijaribu kutoka ( wakati huo juu kunaporomoka na hapo chini pana tetemeko kubwa ) nikiwa natafakari uamuzi gani wa kuchukua kati ya kushikilia nguzo au niruke nje nikastuka usingizini.
Baadae nikaota nipo na wenzangu jumla watatu tuna sanduku la mali za thamani sijui madini au dola. Tukawa tunapanga kuondoka tulipokuwa (porini kuja mjini) lakini tukawa tunabishana tunondoka huko porini vipi bila ulinzi wakati hilo pori lina majambazi waviziaji wengi sana au tufanyeje. Basi tukakubaliana kwanza kila mtu mwenye smart phone azime data kama kuna watu wanatufanyia tracking wasiweze kutuona. Baadaye tukapanga kuondoka lakini tukasita tukiwa na uhakika lazima kuna watu mahala watakuwa wametuwekea ambush, basi katika hangaika hangaika tukawa tumepata bastola lakini mbovu ukijaribu kupiga risasi mara inafyatua mara inagoma. Tukaanza kuulizana twende tusiende? wengine kati yetu wanasema twende wengine wanagoma wanasema usalama hautoshelezi, nikaamka.

Yaonyesha unafanya jitihada maishani lakini kuna vikwazo sharti uchukue hatua ya kutoka na kuwa huru kabiasa maadui wanaangusha uchumi wako
 
SOMO: AINA YA NDOTO 800 HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.
+255755554559 piga simu kwa maombi pia unaweza kutuma iyo ndoto yako kwa meseg WhatsApp
Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

AINA YA NDOTO HATARI AMBAZO UKIOTA UNAPASWA KUINGIA MAOMBI YA VITA.

Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu)

Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako)

1. Kuota kuna Vipingamizi vya kuzia usiendelee mbele( Ni Ishara adui anaweza Uzio kwenye Mafanikio yako)

2. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara kuwa umeunganishwa na mtandao wa kiuchawi)

3. Kuota unaoanda mlima kwa taabu sana( Ni Ishara kuwa adui anakufanya uhangaike sana kabla ya kupata riziki)

4. Kuota uko kwenye Mataa ya Barabarani( Ni Ishara kuwa pana Vikwazo vya kuendelea

5. Kuota umetumbukia shimoni (Ni Ishara kuwa adui ameshakuweka kwenye shimo fulani)

6. Kuota Upepo Mkali (Ni ishara Mungu qnakwambia Mbele kuna Vita)

7. Kuota unanyonyesha Mtoto wakati hauna mtoto(Ni Ishara kuwa kuna maadui wananufaika na wewe bila wewe kujijua)

8. Kuibiwa nguo kwenye ndoto(Ni Ishara kuwa adui anapanga kukuondolea Heshima na utukufi wako)

9. Kuota umebeba mzigo mzito (Ni Ishara adui amekubebesha mizigo mizito)

10. Kuota kofia yako imechukuliwa na upepo ( Ni Ishara ya kuaibishwa)

11. Kuota upo katikati ya giza nene( Ni Ishara ya Upofu wa Kiroho unakuvamia)

12. Kuota moto mkali unateketeza (Ni ishara ya mashambulizi ya Majanga kutokea)

13. Kuota unafanya mitihani ila hujamaliza karatasi zikakusanywa (Ni Ishara kuwa Roho ya Kufeli inakuandama)

14. Kuota Unasafiri ila hufiki unakokwenda(Ni Ishara adui anarefusha Mafanikio yako yasikufikie haraka)

15. Kuota umepigwa risasi ( Ni Ishara kuwa adui anakurushia mashambulizi)

16. Kuota umevaa nguo zilizochanika ( Ni Ishara ya roho ya Umaskini)

17. Kuota uko kwenye mazingira Yamezungukwa na Vinyesi ( Ni Ishara ya Kuwa Ibilisi anafanya kila awezalo kukuzia Usiende Mbinguni)

18. Kuota uko Uchi Ndotoni ( Ni Ishara ya kuaibishwa na kufedheheshwa)

19.Kuota umepoteza pete ya ndoa au gauni ya harusi ( Ni Ishara kuna Mpango wa Mashambulizi dhidi ya ndoa yenu)

20. Kuota mmevamiwa na kuibiwa ( Ni Ishara kuwa adui anapanga kuwaletea roho ya Umaskini au Ufakara na kupungukiwa)

21. Kuota umeumwa na Mbwa ( Ni Ishara kuwa roho za Uzinzi na Uasherati zinakutesa)

22. Kuota umeshambuliwa na Paka ( Ni Ishara ya Mashambulizi ya roho za Kichawi)

23. Kuota unashambuliwa na Nyoka (Ujue adui anakutegea Sumu)

24. Kuota umepoteza Fedha (Ni Ishara ya shambulio juu ya uchumi(

25. Kuota kuna mtu anakulaani. (NI ishara kuwa bado kuna misingi ya laana haijavunjwa juu yako)

26. Kuota unatokwa Damu puani na sehemu zingine za Mwili (Ni Ishara kuwa Kuna Mashambulizi juu ya Afya yako)

27. Kuota uko sokoni unazunguka na hauna kiti cha kufanya ( Ni Ishara kuwa roho za Ukichaa zinakunyemelea)

28. Kuota unafanya mapenzi Kwenye ndoto ( Ni Ishara kuwa unasumbuliwa na Roho ya jini Mahaba au Uzinzi)
Na pia ukiwa na haya hata maisha yako yanakua hayana ujasiri na unakua mtu wa hasira tu

29. Kuota umevaa nguo za Msingi wakati wewe ni mtu mzima sasa ( Ni shara ya Kudumaa kimafanikio)

30. Kuota Unakufa ( Ujue roho ya mauti ya Kiuchumi,kimwili kiafya inakuandama(

31.Kuota majeneza au Makaburi ( Ni Ishara ya roho ya mauti inafanyakazi)

32. Kuota unafukuzwa na Wanyama ( Ni ishara kuwa kuna Mashambulizi yalishaachiliwa juu yako katika ulimwengu wa roho)

33. Kuota Ndege Bundi au Popo ( Ni ishara kuwa unasumbuliwa na roho ya unafiki na masengenyo)

34. Kuota kuna Utando umekuzonga ( Ni ishara ya roho ya kukataliwa)

35.Kuota umepoteza Vyeti vya Shule ( Ni ishara adui anakuzuia usipate kazi)

36. Kuota umevaa Wigi Kwenye ndoto ( Ni Ishara ya utukufu Bandia juu yako)

37. Kuota makufuri ( Ni ishara kuna maeneo fulani juu ya maisha yako yamefungwa)

38. Kuota unalia ( Ishara ya roho ya huzuni)

39. Kuota Umeangusha Biblia au Umeshindwa kusoma Neno ( Ni Ishara kuwa adui anataka kuliondoa Neno juu yako)

40.Kuota unaogelea Kwenye Maji ( Ni Ishara ya majaribu yako mbele zako)

41.Kuota unatembea peku( Ni ishara ya roho ya umaskini na kwa wanandoa ni ishara ya Kuachana na mwenzi wako)

42. Kuota umevaa manguo Meusi au Kofia nyeusi ( Ni Ishara bado kuna utawqla wa Giza na Mapepo ndani yako)

43. Ukiota nyoka mweusi ni ishara ya ADUI mkubwa anakufuatilia.

Ukiota ndoto za namna hiyo hapo Juu yakupasa kuchukua Hatua za Kuomba Maombi ya Vita.


Na ukituma ndoto ili kupata tafsir jitambulishe kisha andika ndoto inayokusumbua

MBARIKIWE NA BWANA Mungu
Moja ya thread za kipumbavu kuwahi kuziona for this year..
 
Ndoto namba 13 kwa sasa imekua kitu cha kawaida mno. Japo flashback hiyo ni kwa low levels hasa hasa primary na secondary. Mara nyingi naota tunafanya mitihani au tunasoma au japo nipo katika mazingira ya shule na my schoolmates
 
Mimi kutafsiri ndoto alinifundisha mzee wangu. Kwenye yote hayo umegusa moja tu, ishu ya kupanda mlima. Kupanda kwa shida au kuanguka mlimani, hiyo ni ndoto yangu kuu inayonipa mwelekeo wa mafanikio au anguko kimaisha na huwa hivyo kwa 100%.

Ndoto nyingine alonifundisha mzee wangu kuwa ni mbaya na ndiyo inayo determine siku itaishashe ni kuota una sex na mtu ambaye si mwenza wako. Au kuona uchi wa mtu flan ndotoni. Hatariii. Siku nikiota ndoto kama hiyo siku inayofata kuna kamkosi nitaupata 150% bila chenga.

Nyingi hapo ni porojo, umefananisha tu matukio (lugha ya picha). Soma ndoto za kwenye biblia zilizotafsiriwa na kina YUSUF, hazikuwa za kiramli kama hizo zako. Nitaiandaa mada ya tafsiri za ndoto, siyo huo uongo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom