Kwa wasafiri wa barabara ya Dar kwenda mbeya watakuwa wameona ndoo nyingi zimejazwa vitu vyeupe kando ya barabara kabla hujavuka mpaka wa Morogoro na Iringa. Mwaka mmoja uliopita kulikuwa na ndoo mbili tatu hivi lakini leo kuna msururu wa ndoo zimejaa vitu hivyo. Tafadhali anayejua atuambie,usikute ni bonge la biashara.