msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Hivi mnadhani ni jambo dogo kupoteza usingizi kwa ajili ya mayweather?Baada ya Mike Iron Tyson kutundika gloves na kuanza kufuga njiwa, mwitikio wa masumbwi umepungua sana huku Bongo.
Hivi mnadhani ni jambo dogo kupoteza usingizi kwa ajili ya mayweather?Baada ya Mike Iron Tyson kutundika gloves na kuanza kufuga njiwa, mwitikio wa masumbwi umepungua sana huku Bongo.
Mayweather ni legend, aliweza kuwabadilisha mtazamo watu kwamba kuwa bondia mkubwa mwenye mafanikio sio lazima uwe heavyweight. Sema kizazi chake bado hakina mvuto wa kufikia enzi za kina Tyson, kustaafu kwa Tyson kuliondoka na wapenzi wengi wa masumbwiHivi mnadhani ni jambo dogo kupoteza usingizi kwa ajili ya mayweather?
Kabisa Kabisa. Ndondi ya Kipindi hicho ilikuwa ndondi kweli, siku hizi fix za biashara ndo zimeharibu mkuu. Mabondia uwezo wa kawaida promo kuuuubwa...Mayweather ni legend, aliweza kuwabadilisha mtazamo watu kwamba kuwa bondia mkubwa mwenye mafanikio sio lazima uwe heavyweight. Sema kizazi chake bado hakina mvuto wa kufikia enzi za kina Tyson, kustaafu kwa Tyson kuliondoka na wapenzi wengi wa masumbwi
Huyu Mayweather naye amechangia sana kuizorotesha hamasa ya masumbwi. Ametengeza pesa nyingi lkn ameishushia morali kwa kitendo chake kwenda kupigana na katoto huko JapanMayweather ni legend, aliweza kuwabadilisha mtazamo watu kwamba kuwa bondia mkubwa mwenye mafanikio sio lazima uwe heavyweight. Sema kizazi chake bado hakina mvuto wa kufikia enzi za kina Tyson, kustaafu kwa Tyson kuliondoka na wapenzi wengi wa masumbwi
Labda nikutolee mfano katika soka,kuna timu za madaraja mbalimbali,daraja LA tatu,LA pili,LA kwanza na Ligi kuu, sasa madaraja ya Ndondi yanapangwa kulingana na range ya Uzito, Heavyweight kwa Kiswahili ni Mabondia wa Uzito wa Juu. Heavyweight haimaanishi mabondia wakali kama ilivyojengeka kichwani mwako, hao kina Pacquiao,Mayweather nk hawapo daraja LA Uzito wa Juu, hata kwa macho tu utaona vimiili vyao ni vidogo.Kwa hyo kwa Sasa hivi ni mabondia gani wameshikilia nafasi za heavyweight duniani,maana Mimi kwa kutoelewa kwangu nilifikir kwamba kina Man Pacquiao ndio wapo viwango vya mwisho.
Ile ilikuwa exhibition fight kufurahisha watu tu, ni kama mechi za kirafiki kwenye mpira, sio pambano rasmi ndio maana rekodi yake imebakia ileile 50-0-0, sio mbaya kutumia jina lake kupiga hela. Hiyohiyo exhibition fight ya Round 3 alipiga hela nyingi, hela ambayo top boxers hawaipati kwa mapambano yao rasmi, ni wachache tu labda Canelo na AJ wanaweza kuipata kwa pambano 1Huyu Mayweather naye amechangia sana kuizorotesha hamasa ya masumbwi. Ametengeza pesa nyingi lkn ameishushia morali kwa kitendo chake kwenda kupigana na katoto huko Japan
That's why weightclass zina maana kubwa, just imagine pambano liwe kati ya hao watu wawili si tungekuwa tunashuhudia maiti kila maraAnthony Joshua kushoto akiwa na Floyd MayweatherView attachment 1158972